Recent content by Humble93

  1. H

    Dark days 17/03/20

    Huyu kijana na mwenyekiti ndio sijawajua code bado inasumbu ngoja niendelee
  2. H

    Dark days 17/03/20

    Exactly
  3. H

    Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

    Hapa nimeona kitu ngoja tuone
  4. H

    Matukio yanayoonesha uongo kwenye vitabu vya dini

    Misuli imetoshana[emoji725]
  5. H

    Familia yangu ina ukaribu sana na EX wangu kuliko mke wangu jambo ambalo ndoa yangu imeanza kuwa na misukosuko

    Kivipi sina mawasiliano yoyote na Ex wangu na wala sikuwahi kumkaribia
  6. H

    Familia yangu ina ukaribu sana na EX wangu kuliko mke wangu jambo ambalo ndoa yangu imeanza kuwa na misukosuko

    Kwa inavyoonyesha Ex wangu ana sauti kuliko mume wake na anafanya anavyotaka yeye.
  7. H

    Familia yangu ina ukaribu sana na EX wangu kuliko mke wangu jambo ambalo ndoa yangu imeanza kuwa na misukosuko

    X wangu ni muongeaji sana ni mtu wa kumzoa mtu kwa wepesi sana. Kuhusu kuishi mimi naishi mbali kidogo na familia yangu ila si unajua tena dunia ni ndogo.
  8. H

    Familia yangu ina ukaribu sana na EX wangu kuliko mke wangu jambo ambalo ndoa yangu imeanza kuwa na misukosuko

    Kwanza Asalaam aleykum, Hongereni kwa Uzima, Sina haja ya kuongea sana naomba niende kwenye Mada moja kwa moja. Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke fulani lakini kwa bahati nzuri au mbaya tuliachana tukiwa kwenye mahusiano tu ya uchumba. Mimi nikapata mwanamke...
Back
Top Bottom