Kwani ni mpenzi au mke?
Kama ni mpenzi temana naye
Ila kama mke wa ndoa amua mwenyewe kulingana na dini yako
Kama ni kiselikali amua pia kulingana na sheria inavyosema
Jaman kuna kaka alinikuta nimekaa nimetulia sehem, aliponisongelea alivonisogelea akaanza kuniongelesha kaka anaharufu mbaya,sjui kibeberu kile sjui kijasho kidogo nitapike mpaka sa hivi nikimkumbuke nahisi kichefuchefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.