Mwanzoni walianza vpnd vzr kulikua kuna vipindi kama strictly Kenya and strictly Uganda na baadhi ya presents from ug and ke but sikuhizi hawaeleweki wanafanya nini kwa kweli
Kuna vitu cwezi kumuazima mtu,laptop,camera ivi navichukualia kama simu ya mkononi unaazimaje kwa mfano maan kunakua na vitu vyangu personal..gari pia siazimi kwa kweli niliwahi kumuazima mtu gari ipo full tank karudisha mshale wa mafuta upo chini kabisa gari chafu na holder ya funguo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.