What is your evidence? Makubaliano ya kuondoa majeshi Afghanistan yalifikiwa na Trump. Na ilitakiwa waondoke mapema zaidi kuliko alivyofanya Biden. Afghanistan was a double-edged sword. Damn if you withdrew and damn if you didn't.
Ni hatari sana kusapoti kwa sababu ya suala moja tu. Mtu akikulipia ada na mengi ili akubake kila siku, yumkini hutasema kwamba ni mtu mzuri kwa sababu tu anakulipia ada. Watu zaidi ya laki sita wamekufa kwa uzembe wa mtu anayejidai hasapoti ushoga. Mtu aliyekuwa tayari kuvunja katiba ili mradi...
You see, kuna watu wanampenda Trump, kufa! Huwezi kuwaambia kitu chochote wakakubali kwamba Trump kakosea. Walimpigia kura kwa rekodi. Kwa upande mwingine angalia kura walizompigia Biden. Nazo zilivunja rekodi zote. Kwa nini? Kwa sababu kuna watu wengi zaidi ambao hawakufurahishwa na miaka minne...
Very elementary logic, my friend. Kesi zaidi ya 60 katika mahakama mbalimbali ikiwepo Mahakama Kuu iliyokuwa na watu wake. Wote wamesema hakuna ushahidi. ZOTE!
And then, yule mama Powell, mwanasheria kwenye timu ya Trump alidai hadharani kwamba Hugo Chavez wa Venezuela alihusika katika wizi...
Kumradhi, lakini aliyeleta mada hakutaja mataifa au dini yoyote nyingine. Alichosema ni kuhusu Israel tu? Hayo mengine ya ISIS au Saudi Arabia yanakujaje?
Kwa nini tutarajie Marekani ndiyo awe polisi wa dunia? Trump hakujishughulisha na Afrika kwa kujua chochote. Hajui lolote kuhusu Afrika. Wote waliomfuatilia toka zamani wanajua kwamba ana uelewe finyu sana wa dunia.
Nilisema hata huko nyuma wakati amachaguliwa mara ya kwanza, wakati watu...
Why is it that the racist Proud Boys are the champions of the Trump victory story?
Why is it that Trump's veiled racist pronouncements always find resonance among racists?
The Texas thing was the most ridiculous preposterous farrago. How can one state interfere in the laws and elections of another. Did you see what the Supreme Court did to that? Friend, the election was fair. Face it.
There is a big problem in this election controversy. The diagnosis is here:
A wise man once said: "If you are emotionally attached to your tribe, religion or political leaning to the point that truth and justice become secondary considerations, your education is useless. Your exposure is...
Kuna kipindi cha mpita ambapo raisi anayeondoka anatakiwa kumkabidhi mikoba raisi mpya. Viongozi wa idara hizo ni watu wanaoteuliwa na raisi mwenyewe. Ametoa maagizo huko kwamba hakuna kuwasaidia, hakuna kuwapa funguo za majengo, nk. La ulinzi ni tofauti kidogo.
Na
Yesu huyo huyo alisema: Si waniambiao "Bwana Bwana" ndiyo watakoingia katika ufalme wa Mungu.
Ndiyo kusema matendo yako ndiyo yanayoonesha umemkubali Yesu kiasi gani. La sivyo inakuwa ni kama yale makaburi yaliyopakwa chokaa. Unakumbuka?
Mtu akikuambia amempokea na kumkubali Yesu halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.