Recent content by Huihui2

  1. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Mwakioesile soma kwa kuelewa. Mwenye maamuzi ya mwisho ya family business bado ni Mzee Gulam Dewji
  2. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Na wewe bwege mbona unasoma majibidhano ya vijana maskini? Tukuweke kundi gani? Njngekuona wa maana kama ungesoma na kupita tu, ungekuwa umetudharau. Ila kwa kujibu inaonekana umevutiwa
  3. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Uzuri waliua tembo wakavuna pembe, wakaziuza kisha hela wakarudisha nchini kuwekeza kwenye viwanda. Viwanda vinaajiri watanzania, vinatengeneza bidhaa na vinalipa kodi kwenye mfuko wa Taifa
  4. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Mimi namjua vizuri Manek na Mac Group yenye makampuni kama Exim Bank, Strategis Insurance, Chemi & Cotex, Palmolive, White Dent, Plastic industry, Iron and Steel etc
  5. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Mtu akiandika ukweli ambao wewe huutaki ndiyo anaitwa chawa?
  6. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Wewe kajamba nani Bin Pangupakavi wakuue kwa sababu gani? Wewe utakufa kwa umaskini wako na stress zako tu. You are a worthless, utterly contemptible and bring nothing of value as a human being
  7. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Kawaulize TRA japo ni out of context question. Mada yangu ilikuwa Mo Dewji vs Bakhressa
  8. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Rostam Mungu akulinde na akuzidishie utajiri

    Wewe unashindwa kuvuka barabara na akili hiyo, halafu unataka ushiriki mijadala ya humu JF??
  9. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Kwanini alikuwa hayumo? Ni nani anayeorodhesha utajiri wa wafanyabiashara wa Tanzania? Je unafahamu uwekezaji wote wa Yogesh Manek?
  10. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Bakhresa ameshinda tuzo ya TRA ya mlipa kodi, basi MoDewji usitusumbue kuwa wewe ni namba 1 Afrika

    Na wewe tajiri nini kimekuleta kwenye mjadala wa maskini?
  11. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Kwa hiyo wewe ni nguruwe pori?
  12. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Hivi unajuwa ulichoandika? Mbona hakina uhusiano na mada. Shake your head well before you decide to write
  13. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Mropokaji atamnyima nani usingizi?
  14. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    I don't tolerate nonsense even from myself
  15. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Zembeeni tena 2030. Tanzania haowezi kuwasubiri
Back
Top Bottom