Recent content by Huihui2

  1. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Hii inatokea sana hapa Mbezi Juu parokia ya Mt Dominico. Kuna Father Daniel Kilala, ni kero tupu kwa kwenda mbele
  2. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Baba Askofu mkuu wa KKKT Dr. Alex Malasusa kuendelea na Prof. Faustine Mahali km VC ni kuiangamiza na kufutwa Chuo Kikuu Makumira

    Tatizo la KKKT ni dhehebu la majungu sana, kuanzia kanisani hadi sasa yameingia kwenye taasisi za elimu. Hebu acheni kudhalilisha UKRISTU. Kama hamuwezi ombeni RC wawaendeshee vyuo vyenu, hamtasikia hayo majungu.
  3. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali ya Tanzania imepanga kumuua Malissa?

  4. Huihui2

    JamiiForums Tanzania EFM Radio: Kocha anayelawiti na kulawitiwa na vijana achukuliwe hatua

    Ni kocha wa timu ya NBC Premier league kutoka mkoa wa katikati ya Nchi maarufu kwa kulima alizeti
  5. Huihui2

    JamiiForums Tanzania EFM Radio: Kocha anayelawiti na kulawitiwa na vijana achukuliwe hatua

    Huyo huyo
  6. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Lissu hashauriki; Walishindwa Jaji Warioba na Raila Odinga kuhusu NRNE

    Siyo kwamba waliokuzaa walifanikiwa kutoa uchafu tu viunoni mwao ukapatikana mchafu wewe
  7. Huihui2

    JamiiForums Tanzania VP Mstaafu Ambaye Sio Mwanachama wa CCM, Serikali na Raia Tuendelee Kumpa Stahili na Heshima zake Bila Ubaguzi

    Absolutely!! Ukitunishiana msuli na mfumo wanakupoteza tu
  8. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

    Kwa hiyo alimtabiri na Deo Ndejembi?
  9. Huihui2

    JamiiForums Tanzania VP Mstaafu Ambaye Sio Mwanachama wa CCM, Serikali na Raia Tuendelee Kumpa Stahili na Heshima zake Bila Ubaguzi

    Kwani wanafuataga Katiba hawa CCM? Akijitutumua tu, wanamfutia mafao na hatafanya chochote. Kwani Lissu alilipwa stahiki zake zote? Na nani anajali.!! Kama kuna watu wa kumshauri Nchimbi wamuambie tu awe HUMBLE. These monsters will come after him
  10. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Lissu hashauriki; Walishindwa Jaji Warioba na Raila Odinga kuhusu NRNE

    Tembelea na Alexandria au Tembisa pale Joburg uniambie kama yale ni maisha ta binadamu au wanyama. Mbona uchaguzi wa mwisho ANC kura hazijutosha wakaamua kuwarudisha makaburu kwenye madaraka?
  11. Huihui2

    JamiiForums Tanzania EFM Radio: Kocha anayelawiti na kulawitiwa na vijana achukuliwe hatua

    Nasikia ni yule jamaa wa Singida
  12. Huihui2

    JamiiForums Tanzania EFM Radio: Kocha anayelawiti na kulawitiwa na vijana achukuliwe hatua

    Ubini wa jina lake unafana na wa Nwanko
  13. Huihui2

    JamiiForums Tanzania EFM Radio: Kocha anayelawiti na kulawitiwa na vijana achukuliwe hatua

    Nilileta uzi humu kuhusu malalamiko ya huyu kocha lakini MODS waliufuta kwa madai ya kuwa kijana aliymtuhumu kocha amekiri kusema uwongo. Leo EFM wamejadili suala hili, na hapa nawaletea link msome wenyewe: https://www.instagram.com/reel/DcfmfofMFS_/?igsi=NjA1c2lkYnljN3gw
  14. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Lissu hashauriki; Walishindwa Jaji Warioba na Raila Odinga kuhusu NRNE

    Maisha bora ya wananchi wa South Africa umeshayaona? Au tusubiri Yesu afufuke?
  15. Huihui2

    JamiiForums Tanzania Lissu hashauriki; Walishindwa Jaji Warioba na Raila Odinga kuhusu NRNE

    Huo sasa ndiyo UZUSHI maana unajisemea tu bila ushahidi
Back
Top Bottom