Recent content by Huihui2

  1. Huihui2

    TANZIA Mmiliki wa OnlyFans afariki dunia

    Nilikuwa nakuchulia powa sana, kumbe min -me ni legend wa hizi mambo za ngono
  2. Huihui2

    Viti kutoka uwanja wa taifa kupelekwa uwanja wa Jamuhuri Morogoro

    Sasa mkipewa CHADEMA mtavifunga wapi?? Vitu vingine acheni viwapite kimya tu, siyo kila kitu lazima mkosoe?? CCM na Serikali ni kama damu na ngozi
  3. Huihui2

    Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    Hakuna social media platform isiyo na mambo ya ujinga au mambo yacm hovyo. Siku zote Internet imetengenezwa kukuletea yale unayo ya-search sana. Kama ni mtu wa international affairs, siku zote ndiyovm utazikuta juu. Kama ni mtu wa kuchungulia ngono, pia utazikuta juu zinakusubiri. FB haina...
  4. Huihui2

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Huyu hapa anachapa kazi, utakufa utamuacha, acha kukufuru, sisi sote ni viumbe vya Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye ajuaye saa na siku ya kila mmoja wetu.
  5. Huihui2

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Wachawi na wanga hata msipotaja tunajuwa tu mna maanisha nini!! Utakufa wewe na utamuacha akiwa hai
  6. Huihui2

    Viongozi wa Bunge wanapaswa kuwa wenye afya njema, mkiweka vimeo mtalitia hasara Taifa

    Uwatambue usiwatambue ila tayari bunge lipo na automatically unalikubali. Kama sheria wanazozioitisha unazifuata na bajeti waliyo approve ndiyo hiyo inatumika. Ni chungu kumeza ila huna namna. Tuliwwmbia kuwa NRNE ni ukichaa wa Lissu na Heche mkakkmaza shingo. Saa hizi mnatoa milio kama ya...
  7. Huihui2

    Siku za hivi karibuni ulinzi wa Makamu wa Rais umeongezeka

    Tangu mumeo abwagwe na Lissu, CHADEMA inakuwewesesha sana
  8. Huihui2

    Siku za hivi karibuni ulinzi wa Makamu wa Rais umeongezeka

    Wewe mwenyewe unafanya kosa hilolhilo la kunipangia cha kufikiri na kuandika. Yaani tupokee takataka zote kama bahari inavyopokea uchafu?
  9. Huihui2

    Ni kitu gani cha maana tulichovumbua sisi watu weusi?

    Acha kujidogosha. Hii Internet unayotumia na GPS zimegunduliwa na watu weusi.
  10. Huihui2

    Siku za hivi karibuni ulinzi wa Makamu wa Rais umeongezeka

    Hii nayo ni habari. ?? Acheni Uganga wa kienyeji. CHADEMA mkikosa cha kuandika mnakuwa manabii koko
  11. Huihui2

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Karibu mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa uje uwaone. Kuandika hapa haitatosha
  12. Huihui2

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Mbona hata Mkuu wa Mkoa wa Njombe kwenye podcasts zake nyingi anayaongelea? Sema Mtaka anaongea juujuu lakini haingii ndani kuwa ni kwa sababu ya masharti ya utajiri waliyopewa na wataalamu.
  13. Huihui2

    Dunia ina mambo mengi ya kushangaza

    Njoo Mbeya utawakuta wengi tu
  14. Huihui2

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Unakuta kijana anauza tu phone accessories yaani cover za simu, batteries, earpods kwenye kibanda cha simu. Lakini amepaki Prado?? Bado tu unaamini ni tajiri wa kuweka akiba?
  15. Huihui2

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Je unamkumbuka mmiliki wa Fresh ya Shamba Shaban Chawe? Yuko wapi? Wako wapi hawa matajiri wa 1990s-2005 na mabasi yao akina Safina, Matema Beach, Widambe? Nimekutajia wachache waliokuwa na mabasi mengi sawa na Aboud bus
Back
Top Bottom