Hakuna social media platform isiyo na mambo ya ujinga au mambo yacm hovyo.
Siku zote Internet imetengenezwa kukuletea yale unayo ya-search sana. Kama ni mtu wa international affairs, siku zote ndiyovm utazikuta juu. Kama ni mtu wa kuchungulia ngono, pia utazikuta juu zinakusubiri.
FB haina...
Uwatambue usiwatambue ila tayari bunge lipo na automatically unalikubali. Kama sheria wanazozioitisha unazifuata na bajeti waliyo approve ndiyo hiyo inatumika. Ni chungu kumeza ila huna namna.
Tuliwwmbia kuwa NRNE ni ukichaa wa Lissu na Heche mkakkmaza shingo. Saa hizi mnatoa milio kama ya...
Mbona hata Mkuu wa Mkoa wa Njombe kwenye podcasts zake nyingi anayaongelea? Sema Mtaka anaongea juujuu lakini haingii ndani kuwa ni kwa sababu ya masharti ya utajiri waliyopewa na wataalamu.
Unakuta kijana anauza tu phone accessories yaani cover za simu, batteries, earpods kwenye kibanda cha simu. Lakini amepaki Prado?? Bado tu unaamini ni tajiri wa kuweka akiba?
Je unamkumbuka mmiliki wa Fresh ya Shamba Shaban Chawe? Yuko wapi? Wako wapi hawa matajiri wa 1990s-2005 na mabasi yao akina Safina, Matema Beach, Widambe?
Nimekutajia wachache waliokuwa na mabasi mengi sawa na Aboud bus
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.