Na wewe bwege mbona unasoma majibidhano ya vijana maskini? Tukuweke kundi gani?
Njngekuona wa maana kama ungesoma na kupita tu, ungekuwa umetudharau. Ila kwa kujibu inaonekana umevutiwa
Uzuri waliua tembo wakavuna pembe, wakaziuza kisha hela wakarudisha nchini kuwekeza kwenye viwanda.
Viwanda vinaajiri watanzania, vinatengeneza bidhaa na vinalipa kodi kwenye mfuko wa Taifa
Mimi namjua vizuri Manek na Mac Group yenye makampuni kama Exim Bank, Strategis Insurance, Chemi & Cotex, Palmolive, White Dent, Plastic industry, Iron and Steel etc
Wewe kajamba nani Bin Pangupakavi wakuue kwa sababu gani?
Wewe utakufa kwa umaskini wako na stress zako tu. You are a worthless, utterly contemptible and bring nothing of value as a human being
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.