Tatizo la KKKT ni dhehebu la majungu sana, kuanzia kanisani hadi sasa yameingia kwenye taasisi za elimu.
Hebu acheni kudhalilisha UKRISTU.
Kama hamuwezi ombeni RC wawaendeshee vyuo vyenu, hamtasikia hayo majungu.
Kwani wanafuataga Katiba hawa CCM? Akijitutumua tu, wanamfutia mafao na hatafanya chochote.
Kwani Lissu alilipwa stahiki zake zote? Na nani anajali.!!
Kama kuna watu wa kumshauri Nchimbi wamuambie tu awe HUMBLE.
These monsters will come after him
Tembelea na Alexandria au Tembisa pale Joburg uniambie kama yale ni maisha ta binadamu au wanyama.
Mbona uchaguzi wa mwisho ANC kura hazijutosha wakaamua kuwarudisha makaburu kwenye madaraka?
Nilileta uzi humu kuhusu malalamiko ya huyu kocha lakini MODS waliufuta kwa madai ya kuwa kijana aliymtuhumu kocha amekiri kusema uwongo.
Leo EFM wamejadili suala hili, na hapa nawaletea link msome wenyewe:
https://www.instagram.com/reel/DcfmfofMFS_/?igsi=NjA1c2lkYnljN3gw
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.