Recent content by hsamh

  1. H

    JamiiForums Tanzania Hakuna uchawi wa chuma ulete, ni visingizio vya watu wazembe

    Kua na tembea ujionee mengi ya Dunia kwa ulivyotiririka hapo inaonyesha wazi kwamba kwanza ni mdogo kiumri na pili hujatembea kwenye jamii mbalimbali. Onyo Hii mentality yako iishie humu humu kwenye mitandao mana ukiipeleka mtaani watakutest na cha 150 tu, ukaiaga dunia kabisa.
  2. H

    JamiiForums Tanzania Unahitaji kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wako? Nikaribishe nikuhudumie

    Je, unahitaji kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wako? Nikaribishe nikuhudumie. Fani: Mwalim (Bachelor of education in science) Masomo ya kufundishia: Biology & Geography. Chuo: Mwenge Catholic University (MWECAU) MOSHI KILIMANJARO. Mwaka wa kuhitimu chuo: 2017. Uzoefu wa kazi: miaka 5, kwa...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Natafuta part time job za jioni kwa mkoa wa Dar es Salaam

    NiPM mkuu nikupe mchongo chap
  4. H

    JamiiForums Tanzania Natafuta frem ya biashara ya nguo na viatu vya mtumba Arusha na Moshi

    Kwa wenyeji wa Arusha na Moshi natafuta frem iliyokaa mahar pazur kwa ajil ya biashara ya nguo za mtumba pamoja na viatu yeyote mwenye access nayo ani pm wandugu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. H

    JamiiForums Tanzania udsm; NI KWELI WALIO CHAGULIWA UDSM WAMEANZA KURUSHIWA MAJIBU YAO KUPITIA E MAIL ZAO?

    naona huu ndo wakat wa kuekana roho juu
Back
Top Bottom