Recent content by hp4510

  1. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    My point ni kwamba, uwa simwelewi mtu akishangilia kushinda odds mbili, because kushinda odds mbili ni 99.9.9% hasa kama unajua kucheza kwenye ligi kukwa na timu kubwa Nimekupa mfano, getafe always mpe 4.5, Barcelona mpe kona au over shots, Man city man united wape kona au shots Unakosaje...
  2. hp4510

    JamiiForums Tanzania Narudia tena kusema, Dr Ally Hussein Mwinyi anavunja record ya Maendeleo Zanzibar

    Kwa sasa sehemu salama ni zanzibar, I'm very sure few years to come tutaanza kuingia zanzibar kwa visa Maendeleo yanayofanyika zanzibar it will take 50 yrs Tanzania Bara kufikia, Nenda kaone airport zao, nenda kaone barabara zao, ni hatari,
  3. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeanza kubet kwenye makaratasi kabla online hazijaanza, eeh una swali lingine? Huyo Kanji inategemea unabet options gani? Kwamb man city vs Norwich dakika 90 hamna kona Hamna faulo, hamna shot over? Madrid anakosaje offside? Barcelona anakosaje kona? Getafe anafungaje goli 5+? Yan me...
  4. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    5361ES Sport bet, za leo
  5. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kabisa bila shida, unatumia kampuni gani?
  6. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    I think atakuwa anafeli kwenye uchaguzi wa ligi Uwez kukosa odds mbili kwa EPL kwa kuweka kona, shots over, Uwez kukosa odds mbili Spain kwa kuweka faulo Yan me sielewi mtu anakosaje odds mbili
  7. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Uwage na heshima, hapa sio Facebook
  8. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    To me mtu akipiga odds zaidi ya kumi hapo sawa ila sio odds mbili, Unakosaje odds mbili ? Weka kona weka faulo, weka shot over Yan odds mbili huwez kukosa
  9. hp4510

    JamiiForums Tanzania Swali kwa IGP, nani aliyeruhusu askari polisi kuingia mitaani na silaha za kivita

    Mbona Heche kaulizwa mambo ya magari? Kuna uhusiano gani wa magari yake na uhaini wa lissu
  10. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mtu ambae anashangilia odds mbili uwa simwelewi kabisa
  11. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mambo yanayoweza kufanya Ukishinda Beti (Mkeka usilipwe)

    Kwanini kama hauna hayo mambo yote, ukiweka ela wanachukua.? Kwanini wasiseme vigezo vyako havijakamilika na ela yako warudishe?
  12. hp4510

    JamiiForums Tanzania Madhara ya kuchangisha wanachama na wafuasi wa vyama kwenye Bakuli ni ama mtalazimika kufuata mashart ya mafisadi au wanaharakati kisa wametoa pesa

    Chadema wanafanikiwa because ya kuaminika kwake na wana harakati, so chadema wakitaka kufa kifo cha mende wajifanye kujitoa kwenye kundi la watu ambao ni wanaharakati Hata watoa siri wa serikali uwa hawaambi chadema moja kwa moja uwa wanawaambia wanaharakati wakijua fika ujumbe utafika
  13. hp4510

    JamiiForums Tanzania Wanaosema Heche ananufaika na kesi ya Lissu sio waongo, amethibitisha

    Unajuaje kama Heche hakufanya hivyo?
  14. hp4510

    JamiiForums Tanzania Wakimaliza kumuhoji John Heche, msishangae kesi ikafutwa ili vigogo wa vyombo vya usalama wasohojiwe na Lissu mahakamani

    What I feel ni kwamba lissu atafungwa na atatoka after 2030 Na hao viongozi wa vyombo vya usalama wataenda mahakamani Just wait and see
  15. hp4510

    JamiiForums Tanzania Wanaosema Heche ananufaika na kesi ya Lissu sio waongo, amethibitisha

    Ujawahi kusikia mtu kakuta ela kwenye account na alietuma hamjui?
Back
Top Bottom