Recent content by hp4510

  1. hp4510

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi CCM amtaka CAG kufanya ukaguzi wa fedha za Tone tone za Chadema

    Aisee sanaaa Mpaka sasa hakuna mtu anaongea mambo ya serikali wote wako busy na chadema
  2. hp4510

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya makubwa kuliko Marais wote Tanzania ila vijana wameharibiwa na Mange Kimambi

    Hakuna mtu anajua hayo makubwa, because wasaidizi wake wote mko busy na Heche Mko busy na chadema, Wala usishangae mtu akisema mama samia hamna kitu amefanya because hamna mtu amesema, Kama watu wanasahau hata mambo makubwa ambayo mungu amefanya mpaka wakumbushwe makanisani na misikitini...
  3. hp4510

    JamiiForums Tanzania Maafisa usafirishaji wa mtandao, maarufu kama bodaboda za mtandao, wamefunga barabara katika eneo la Chuo cha Biashara (CBE) Posta, Jijini Dar es sala

    Chadema ni mbaya sana bora ifutwe tu, Sasa Heche anazuia boda kuingia mjini then wanawapiga fine elf 70? Dah not fair kabisa Nakubaliana na ushauri wako gentleman, chadema ni ya kufutwa kabisa
  4. hp4510

    JamiiForums Tanzania Ni ipi inaweza kuwa sababu ya msingi kwa wanachama wengi zaidi wa CHADEMA kutolipa ada za uanachama wao ndani ya chama hicho?

    Yes sasa kadi ya kazi gani wakati chama hakina ishu yoyote hata uchaguzi hakishiriki
  5. hp4510

    JamiiForums Tanzania Ni ipi inaweza kuwa sababu ya msingi kwa wanachama wengi zaidi wa CHADEMA kutolipa ada za uanachama wao ndani ya chama hicho?

    Uko busy sana na chadema mpaka unapekua majalala? Kazi yako ngumu sana gentleman 😄 🤣 😂 Sasa hapo chadema hakina hata mwenyekiti wa mtaa
  6. hp4510

    JamiiForums Tanzania Ni ipi inaweza kuwa sababu ya msingi kwa wanachama wengi zaidi wa CHADEMA kutolipa ada za uanachama wao ndani ya chama hicho?

    Hayo ni mambo yao ya ndani, kwani wewe ni mwanachama wa chadema?
  7. hp4510

    JamiiForums Tanzania Huenda kuna mgomo baridi ndani ya CHADEMA

    Au sio 😄 Wewe ni chadema tu, huna lingine
  8. hp4510

    JamiiForums Tanzania Huenda kuna mgomo baridi ndani ya CHADEMA

    Leo ongelea hata mema na mazuri yaliyosemwa na Rais Kila siku wewe uko na chedema tuuuuuuuuuuuuu Hao hawana ishu, ulishasema chama kifutwe, Hawana mbunge, hawana Diwani hawana mtu yoyote mwenye say yoyote All the time uko busy na chadema tu Unasahau mpaka mazuri mengine yanayofanywa na...
  9. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mtaka: Faini zisizo halali zinawafanya wananchi waichukie serikali

    Uwa najiuliza why mtaka ni mkuu wa mkoa mpaka leo Jamaa alitakiwa kumtoa mwigulu pale
  10. hp4510

    JamiiForums Tanzania Wajumbe 11 wa Congress watua Dar, wafanya majadiliano muhimu na waandamizi

    Ona wenzetu hao walio na vijana bora kwenye vyama vyao Nyie huku mnawaza kushughulikiana na mama zenu wanapita madirishani kwenye mabasi ya kodi zao Vijana wa hovyo kabisa kama mmerogwa
  11. hp4510

    JamiiForums Tanzania Wajumbe 11 wa Congress watua Dar, wafanya majadiliano muhimu na waandamizi

    Ukiamka tu unakuta wamekutukana?
  12. hp4510

    JamiiForums Tanzania Wajumbe 11 wa Congress watua Dar, wafanya majadiliano muhimu na waandamizi

    Si watakutana na chedema then wataambiwa ukweli wa mambo ulivyo Then wenyewe watapima
  13. hp4510

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T - CAMS unahusishwa na familia ya Samia

    Toa ufafanuzi comred Mbona mambo ya ufisadi wa Heche unaweza kuyaelezea vizuri?
  14. hp4510

    JamiiForums Tanzania Hakuna Sehemu Yoyote Ile Duniani Ambako Dola Inachezewa Na Kuyumbishwa na Mtu Akachekewa tu. Ni Lazima Upitishwe Kwenye Tanuri la Moto Hadi Uive Akili

    Akili za vijana wa Tanzania Bara, Vijana wa zanzibar wako busy na maendeleo, wako busy kujibu hoja, wako busy na uzanzibari wao Wako busy na maliasili zao, Vijana wa Bara ni kama wamerogwa, akili zao ni kuona mtanzania mwenzake anateseka, just because anapata elf 7 Tangu huyo lisu yuko...
Back
Top Bottom