My point ni kwamba, uwa simwelewi mtu akishangilia kushinda odds mbili, because kushinda odds mbili ni 99.9.9% hasa kama unajua kucheza kwenye ligi kukwa na timu kubwa
Nimekupa mfano, getafe always mpe 4.5, Barcelona mpe kona au over shots,
Man city man united wape kona au shots
Unakosaje...
Kwa sasa sehemu salama ni zanzibar, I'm very sure few years to come tutaanza kuingia zanzibar kwa visa
Maendeleo yanayofanyika zanzibar it will take 50 yrs Tanzania Bara kufikia,
Nenda kaone airport zao, nenda kaone barabara zao, ni hatari,
Nimeanza kubet kwenye makaratasi kabla online hazijaanza, eeh una swali lingine?
Huyo Kanji inategemea unabet options gani? Kwamb man city vs Norwich dakika 90 hamna kona Hamna faulo, hamna shot over?
Madrid anakosaje offside? Barcelona anakosaje kona? Getafe anafungaje goli 5+?
Yan me...
I think atakuwa anafeli kwenye uchaguzi wa ligi
Uwez kukosa odds mbili kwa EPL kwa kuweka kona, shots over,
Uwez kukosa odds mbili Spain kwa kuweka faulo
Yan me sielewi mtu anakosaje odds mbili
To me mtu akipiga odds zaidi ya kumi hapo sawa ila sio odds mbili,
Unakosaje odds mbili ? Weka kona weka faulo, weka shot over Yan odds mbili huwez kukosa
Chadema wanafanikiwa because ya kuaminika kwake na wana harakati, so chadema wakitaka kufa kifo cha mende wajifanye kujitoa kwenye kundi la watu ambao ni wanaharakati
Hata watoa siri wa serikali uwa hawaambi chadema moja kwa moja uwa wanawaambia wanaharakati wakijua fika ujumbe utafika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.