Hakuna mtu anajua hayo makubwa, because wasaidizi wake wote mko busy na Heche
Mko busy na chadema,
Wala usishangae mtu akisema mama samia hamna kitu amefanya because hamna mtu amesema,
Kama watu wanasahau hata mambo makubwa ambayo mungu amefanya mpaka wakumbushwe makanisani na misikitini...
Chadema ni mbaya sana bora ifutwe tu,
Sasa Heche anazuia boda kuingia mjini then wanawapiga fine elf 70? Dah not fair kabisa
Nakubaliana na ushauri wako gentleman, chadema ni ya kufutwa kabisa
Leo ongelea hata mema na mazuri yaliyosemwa na Rais
Kila siku wewe uko na chedema tuuuuuuuuuuuuu
Hao hawana ishu, ulishasema chama kifutwe,
Hawana mbunge, hawana Diwani hawana mtu yoyote mwenye say yoyote
All the time uko busy na chadema tu
Unasahau mpaka mazuri mengine yanayofanywa na...
Ona wenzetu hao walio na vijana bora kwenye vyama vyao
Nyie huku mnawaza kushughulikiana na mama zenu wanapita madirishani kwenye mabasi ya kodi zao
Vijana wa hovyo kabisa kama mmerogwa
Akili za vijana wa Tanzania Bara,
Vijana wa zanzibar wako busy na maendeleo, wako busy kujibu hoja, wako busy na uzanzibari wao
Wako busy na maliasili zao,
Vijana wa Bara ni kama wamerogwa, akili zao ni kuona mtanzania mwenzake anateseka, just because anapata elf 7
Tangu huyo lisu yuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.