Recent content by hp4510

  1. hp4510

    Niko Hapa kuutetea uislam dini yangu ya haki upendo na amani

    Kutetea against who?
  2. hp4510

    Kichoitwa kikao cha wanaume chini ya nabii feki IPM kinashusha hadhi ya mwanaume

    Manabii wa miaka hii ni matapeli tu, wanawaambia watu wakope mahela bank wakawape wao Muumini hata nauli hana mtume ana magorofa kila kona
  3. hp4510

    Kusambaratika kwa vyama vya upinzania Tanzania huchochewa zaidi na ulevi wa madaraka, viburi na uropokaji wa viongozi wa vyama hivyo vya siasa

    Wana kesi mahakamani, ongea kuhusu chauma na tadea, na wabunge wenu wanaotaka bunge liwe na bendi hahaha Yan hapo ni kwenye bunge la bajet just siku ya tatu tu dah
  4. hp4510

    Kusambaratika kwa vyama vya upinzania Tanzania huchochewa zaidi na ulevi wa madaraka, viburi na uropokaji wa viongozi wa vyama hivyo vya siasa

    Mambo ambayo wanainchi wanaumia ndio mnatoa mifano ya ulaya ila mambo mengine mbona hamfati reference za ulaya 2. Ishu ya mifumo kusoma ni agenda ya Rais since ameeingia, why haviwezekani? Mbona V8 mpya zinanunuliwa? Mbona posha za safari zinalipwa, shida yetu hatuna priority kwenye mambo...
  5. hp4510

    Kusambaratika kwa vyama vya upinzania Tanzania huchochewa zaidi na ulevi wa madaraka, viburi na uropokaji wa viongozi wa vyama hivyo vya siasa

    Naanza chini kuja juu Wasafirishaji washaanza since jana so ni mwendelezo tu Hivi unajua ela za CAG ni zetu? Pamoja na mimi na wewe na watanzania wengine Sasa miaka yote cag akiwa ana wasilisha hutuba zake, Rais uwa anasema neno moja tu mifumo isomane, je umewahi kujiuliza why since back...
  6. hp4510

    Kusambaratika kwa vyama vya upinzania Tanzania huchochewa zaidi na ulevi wa madaraka, viburi na uropokaji wa viongozi wa vyama hivyo vya siasa

    Gentleman wewe ni mtu mwerevu sana, na uko smart sana kichwani, sijui elimu yako ila una uelewa mkubwa wa mambo Haya ninayoongea unayajua na una yaelewa vizuri sana, Kwa Tanzania ni ccm na serikali ndio wana maamuzi mpaka ya mtu uamke au usiamke Chama cha siasa ambacho kweli kinataka kuleta...
  7. hp4510

    Naitaji samsung S10 used

    Kigamboni gani? Una contact zake?
  8. hp4510

    Naitaji samsung S10 used

    Ah naona kama zile ni copy sana
  9. hp4510

    Naitaji samsung S10 used

    Wakuu habari Naitaji samsung S10 used ambayo sio copy Niko Dar, Mwenye nayo naomba anipm tujue inakuwaje Simu iwe kwenye mazingira mazuri, haina mpasuko wala shida yoyote Thank you
  10. hp4510

    Rais Samia aagiza PPRA kutekeleza sera ya ‘Name and Shame’: Watajeni wanaofanya vibaya kwenye ripoti ya CAG wajisikie aibu

    Since when mwizi akawa na aibu? Wangekuwa na aibu then wasingekuwq wanajenga mahekalu
  11. hp4510

    Jakaya Kikwete akiwa na Timu ya mpira wa kikapu Dar City nchini Afrika Kusini

    Mbona ujasifia mambo mazuri ya report ya CAG.?
  12. hp4510

    Jakaya Kikwete akiwa na Timu ya mpira wa kikapu Dar City nchini Afrika Kusini

    Haya sasa ndio mambo yetu, yale mambo ya kusimamia masharika kusiwe na wizi wa kodi zetu kama CAG alivyosema sio vitu vyetu kabisa, Mambo ya mifumo kusomana huu mwaka wa tano hamna kitu kinafanyika, hasara juu ya hasara watu wanapiga hela, Sometimes ni aibu kuzaliwa Africa
  13. hp4510

    Rais Samia: Kuna changamoto mifumo ya Serikali kutosomana kikamilifu

    Kila siku hoja ni mifumo kusomana Watendaji hamna kitu wanafanya Rais anaongea kila mwaka
Back
Top Bottom