Wana kesi mahakamani, ongea kuhusu chauma na tadea, na wabunge wenu wanaotaka bunge liwe na bendi hahaha Yan hapo ni kwenye bunge la bajet just siku ya tatu tu dah
Mambo ambayo wanainchi wanaumia ndio mnatoa mifano ya ulaya ila mambo mengine mbona hamfati reference za ulaya
2. Ishu ya mifumo kusoma ni agenda ya Rais since ameeingia, why haviwezekani?
Mbona V8 mpya zinanunuliwa? Mbona posha za safari zinalipwa, shida yetu hatuna priority kwenye mambo...
Naanza chini kuja juu
Wasafirishaji washaanza since jana so ni mwendelezo tu
Hivi unajua ela za CAG ni zetu? Pamoja na mimi na wewe na watanzania wengine
Sasa miaka yote cag akiwa ana wasilisha hutuba zake, Rais uwa anasema neno moja tu mifumo isomane, je umewahi kujiuliza why since back...
Gentleman wewe ni mtu mwerevu sana, na uko smart sana kichwani, sijui elimu yako ila una uelewa mkubwa wa mambo
Haya ninayoongea unayajua na una yaelewa vizuri sana,
Kwa Tanzania ni ccm na serikali ndio wana maamuzi mpaka ya mtu uamke au usiamke
Chama cha siasa ambacho kweli kinataka kuleta...
Wakuu habari
Naitaji samsung S10 used ambayo sio copy
Niko Dar,
Mwenye nayo naomba anipm tujue inakuwaje
Simu iwe kwenye mazingira mazuri, haina mpasuko wala shida yoyote
Thank you
Haya sasa ndio mambo yetu, yale mambo ya kusimamia masharika kusiwe na wizi wa kodi zetu kama CAG alivyosema sio vitu vyetu kabisa,
Mambo ya mifumo kusomana huu mwaka wa tano hamna kitu kinafanyika, hasara juu ya hasara watu wanapiga hela,
Sometimes ni aibu kuzaliwa Africa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.