Recent content by houstony

  1. houstony

    Msaada: Natafuta Ajira Dar es Salaam

    Habari wanajamii, Mimi ni kijana mwenye shahada ya uhandisi mitambo (Bsc in Mechanical Engineering) naishi Dsm. Jinsia ME, Kwasasa sina kazi yoyote, hivyo kama kijana mwenzenu nnaetafuta kujikwamua kimaisha naombeni msaada wenu niweze kupata kazi yoyote ya halali kwa maana hali imekuwa ngumu...
  2. houstony

    Natafuta ajira au internship nimesoma MECHANICAL ENGINEERING

    Hii ni moja ya plan zangu nikishapata mtaji
  3. houstony

    Natafuta ajira au internship nimesoma MECHANICAL ENGINEERING

    Habari ndungu zangu Nimehitimu shahada ya Mechanical Engineering. Naombeni msaada kupata kazi au internship maana nimeshazunguuka sana maofisini kuomba kazi bila mafanikio.
  4. houstony

    HESLB waachia majina 11,481 ya wanafunzi waliopata mkopo awamu ya pili 2017/18

    watu type ka izi ndo zinatukoseshaga kiongoz bora t-shirt na kofia tu anatoa kura bila kutafakar sera..!!
Back
Top Bottom