Kaka habar, nimekwama aisee kukamilisha profile yangu kwenye freelancer! Msaada plz....najaza nini pale kwenye about lakin pia naomba muongozo pale kwenye payments kwenye cardholder name najaza nini na hata card ID ndo namba ya benk au? Plz nimeshindwa kubid kisa sijamaliza profile.
Sorry, nimeingia kwenye freelancer tatizo ni hili; nikibid wananirudisha nyuma kuwa bado nikamilishe plofile then nikiweka picha naambiwa haifiti hafu lingine kuna sehem kuna neno about so nimepewe niandike sth pameandikwa neno "edit summary" chini yake kuna 1000 ukiandika sth maneno...
Dah! napenda sana kujishughulisha na kuwa bize nadhan nitaziweza hiz kaz.....plz nimekuuliza namna ya kubid na kucontext kwenye freelancer na pia kutambua thaman ya shilling ktk mataifa mengine na pia namna ya kudroo kihela nitajachokuwa napata!! plz help!! ww umeniinspire sana and you're my...
Asanteni sana kwa ukarim....naomba nipate kujua namna ya kubid kwenye freelancer plz na namna ya kudroo kihela nitakachokuwa napata hata kama ni 5000 nijue inanifikiaje plzzzz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.