Mzee mm naona Simbanking Ni huduma nzuri Na inarahisisha sana utumaji wa hela, ilisha wahi kunitokea Mara moja sikupata ela Ila baada ya muda niliipata mm nachukulia hamna kitu kizuri kisichokuwa Na challenge zake tujivunie vya kwetu Na tuwape muda wa kuiboresha zaidi Na zaidi huduma hiyo...
Benki ya CRDB kwa kweli imechangia sana kuboresha maisha ya watanzania kupitia mikopo ukizingatia ni benki pekee inayokopesha wakulima wa pamba kanda ya ziwa na tumbaku huko Tabora. Ikifa maeneo hayo ndio umaskini utaongezeka sana maana benki za wazungu kama NMB hawakopeshi maeneo hatarishi kama...
mim nadhani zinge tumika fikra yakinifu katika upembuzi wa swala Hili nyeti la kibenki kma tunavyojua benki industry ndio kila kitu katika Maisha ya watanzania Na wafanyabiashara kwa ujumla katika kukuza uchumi wa nchi kuangalia dividend pekeake Ni pointi zaifu sanaa kwani NMB pekeake haiwezi...
Ni kweli kabisa yaani hiyo nikama katika familia baba kumpendelea mtoto mmoja Na kuwaacha wengine hiyo kitu ina demoralize sana uchumi wa nchi Na ukizingatia benki Zinachangia kwa kiasi kikubwa kwenye ajira Za watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.