Hivi unaelewa kazi ya TBS nafikili tatizo huna exposure ndg ndio maana unaongea hivyo. Ni wajibu wa serikali kuwalinda raia zake na bidhaa feki na TBS ndio shirika linalosimamia ubora wa products mbali mbali.
Mkuu watanzania wengi wakishasimia vitu vinetoka uingereza basi wanapapatika bila kuelewa... yaani ukiongea kutetea kama hivi wanakushambulia sana. Hii imempa jamaa chriss lukosi kiburi kupita kiasi hadi anafikia kuwadhiaki wateja wake kwa maneno ya kejeli sana. Wakati wapo watu wengine wanatoa...
Hii kampuni imekuwa ikiingiza mizigo/makinikia toka UK, cha ajabu vitu wanavyoviingiza kama used ni vibovu sana na asilimia 60 vinakuwa huwezi kuvitumia mpaka uwatafute mafundi huku yeye akiendelea kunadisha mnada ambao unafanyikaga online kila wiki na ofisini kwao mikocheni nyuma ya clouds...
Tangia mwwka 1996 Mkurugenzi wa gaming board Mr. Abbas Tarimba ni huyo huyo je ni kwanba hakuna watanzania wengine wenye sifa ya kuwa Wakurugenzi! Mbaya zaidi Makampuni ya casino yanaleta wafanyakazi kutoka nje na kulipwa mishahara mikubwa kuliko wazawa kwa kazi ambazo wazawa wanaweza kuzifanya...
Kwa kweli tangia board ya michezo ya bahati nasibu inaanzishwa, Mkurugenzi ni huyo huyo Abbas Tarimba! Je, ni kweli ndio mtu pekee kati ya Watanzania wote ndio anaweza kusimamia Gaming Board?
Je, unyonyaji mkubwa unaofanywa na wamiliki wa casino kwa Watanzania kwa kutowapa mikataba wafanyakazi...
Jerry Slaa aliyekuwa anagombea ubunge jimbo la ukonga ktk matokeo ya kura za maoni jimboni ukonga ameshindwa ktk kula za maoni ukonga kwa kura zaidi ya 4,000 na mpinzania wake mwenye asili ya kiasia aliyepata kura 5139 na jerry kupata 1034
Ni kweli Nokla usemacho, ila kwa mtu anayeanza kutaka kuagiza gari nje ni vizuri akapata feedback kutokana na uzoefu wa mtu fulani. Beforward na kampuni nyingine wote wana magari tofauti tofauti ktk ubora na ndio maana wanaweka picha ili mteja mwenyewe achague. Kwa huyu ndugu anayetaka kuanza...
Usiangaike sana, nenda katika ofisi za beforward tanzania pale karibu na hospital ya ocean road, utachagua gari, kulipia na wao wenyewe watakutolea likifika nchini kwa gharama ya 250,000 tu kwa gari dogo. Una weza cheki magari yao online www.beforward.jp na hii kampuni ndio yenye magari ya bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.