Mada nzur ila kuna watu humu wanaitumia kama mianya ya kukejel dini za watu...(mwarab kaleta din ya KIMBWA),huu si ustaarabu na point isiyo na fact jaman,hebu jaman tuwe wenye kupevuka kwa kuchangia chenye hoja na kilichostaarabikaa na chenye kujengaa...
nzuri tu ajira zinaeleweka,hiyo kozi inahusu management, distribution (transportation) of manufactured goods(imported o exported) from different areas to other areas,so it covered a wide aspect issue in business and employment too,you need to come out with high grade to be competitive
kawaidaa tu ktk mfumo wa maisha y bnadam,smtm kuaibika,smtm shida na mitihan kibao,raha na dhihaka,ungefunga zipu,then ungetumia autocratic method of teaching,
sijui hata ni vigezo gani huwa vinazngatiwa ktk mgawanyo wa mkopo,kuna watoto wa maprofesa tena wamesoma uganda na nchi nyngne hukoo ktk elim yao ya nursery mpaka o level,na badoo wamepewa mkopo,wale kina st.kayumbaa ndo wengi wamekosaa mkopo,sijui haki imepotelea kwenye mlango upi wa kiza
We qurux hebu kuwa na stara kidogo,laiti ungalijua neno gaidi lina uzito gan usingalithubutu kultamka hvoo tena kwa kultaja sanjar na uislam,huijui vzur dini na chmbuko lakee,mana sshangai kwa dini hz kuwa na chuki baina yao wakat historia inaonyesha wazwaz kuna chuki na vita mbalmbal za kiiman...
mmh,dit?,itakuwa kuna makosa uliyafanya kwenye kujaza form zao japokuwa mkopo smtm bahati ya mtu,mi nahs huwaga wanapiga ana ana do.. Kuchagua wapatao mkopo sdhan kama wanazngatia vgezoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.