Recent content by hopegiver

  1. H

    Kapteni Komba asema Warioba si mwanachama halali wa CCM!

    Komba ni nan ktk nchi hii,achaneni na mchumia tumbo huyo .
  2. H

    Mtikila: Hili bunge la katiba limejaa wahuni na washenzi sijawahi kuona toka tupate uhuru

    da yani kwa hili mtikila we nishujaa wangu mimi baada ya kugundua hivyo siitaji katiba mpya kwa sababu naamini haitakua na tofauti na hii ya sasa labda rangi ya nje badala ya zambalau inaweza ikawa ya kijani au njano,we katiba iandikwa na chenge,lowasa,wasila,mwigulu,kigwangala,ndugai unategemea...
  3. H

    Hii ina Maana Gani: Zaidi ya 80% ya Wajumbe wa Bunge la Katiba ni Wanasiasa!

    inamaana hakuna katiba hapo ni magumash!
  4. H

    TRA someni hapa: EFD zenu WIZI MTUPU

    ukitaka kumtawala mtu kirahisi mnyime elimu,mwenye elimu mnyime kazi,hapobutakuwa umefanikiwa ccm oyeeeeeee!!!
  5. H

    Tamko la waziri kivuli wa Fedha kuhusu Mashine za EFD

    hii ndio "taifa la kondoo kuongozwa na dubu"hivi unadhani kodi ikiwa kubwa kwa mfanya biashara gharama za maisha sitashuka?hivyo vijisenti vyako wanavyokubakishia kweny taki om ukilipa maden kwa mangi vitakua havifiki hata tarehe tano we unadhulumiwa baada utafute suluhu unatamani kuona na...
  6. H

    Udhalilishwaji huu uliofanywa na Mnyika kwa walimu haukubaliki hata kidogo

    wazee feki,vijana feki watoto feki wanaunda "feki nation"we unajua matusi?huangalii Tv? uone vijana wa kitanzania wanavyojianika uchi kwakujiita video quin huku wazee wanatazama na kufurahia kama mazuzu?mnyika yuko sahihi wala hajatukana kwani ndivyo ilivyo.
  7. H

    Udhalilishwaji huu uliofanywa na Mnyika kwa walimu haukubaliki hata kidogo

    wazee feki,vijana feki watoto feki wanaunda "feki nation"we unajua matusi?huangalii Tv? uone vijana wa kitanzania wanavyojianika uchi kwakujiita video quin huku wazee wanatazama na kufurahia kama mazuzu?
  8. H

    Zitto Kabwe Adai kwa Kiapo Hana Majina ya Wenye Akaunti Uswisi - AG

    kusoma hakuongez akili za mtu,labda maarifa japo unaweza ukasoma bila kupata maarifa,kwang ZZk ni mtu mwenye akili ndogo na hii taarifa ndio inadjihirisha hivyo,alidanganywa akadanganyika waliomdanganya wako kazini ye kwasababu ubongo wake mdogo akaona ni kete ya kisiasa kikowapi sasa?
  9. H

    Membe ni kiongozi wa watu na mwana diplomasia aliye komaa mwenye msimamo usioteteleka

    kwangu membe ni miongoni mwa viongozi vibaraka anaeamini sana kua maendeleo ya nchi yatatokana na huruma za mataifa makubwa,membeni mtu mkorofi ambae hanastaha anapenda ubabe naamini km yeye ndie angekua rais (this time)tungeshapigana na ndugu zetu wa malawi, na rwanda.membe si mkubali hata kidogo.
  10. H

    Mambo 2 yanayotatanisha kwenye hoja za viongozi wote wa Chadema waliojiuzulu na yanayowaumbua

    mwenye kufikiri zaidi atagundua haya mambo ni yakutengenezwa kwa faida ya watawala kwani,ukweli ni kwamba ktk ulimwengu wa kibepari nchi haiwezi kusonga kimaendeleo km hakuna vyama imara vya upinzani,serikal nyingi dharimu zitafanya kila liwezekanalo kudhoofisha upinzani ili waendelee(serikali)...
  11. H

    CHADEMA kama mtamfukuza Zitto, anaweza akaondoka na wafuasi wengi mpaka mkashangaa!

    Enyi ndg zangu acheni kulala amkeni,jifunzeni mambo mpate maarifa fikirini mala mbili kabla ya kusema kitu na tumieni akili mlizo nazo kwa manufaa yenu na vizazi vyenu,Jiulizeni je kwa kua Lusifa alikua malaika mkuu baada ya kuasi Mungu alikosea kumfukuza Mbinguni?
  12. H

    Kwa kauli ya JK, Muhongo na Maswi, lazima machafuko yatatokea Tanzania

    until the phylosoph which hold one race superior and another inferior is final and permanently discredited = WAR
  13. H

    NYERERE DAY ; CCM INAMUENZI MWL Kwa LIPI?

    kwa kuifanya ikulu kua "pango la walanguzi"
  14. H

    Rais, Waziri Mkuu kupata mishahara mikubwa bila kukatwa kodi ni hujuma dhidi ya walipa kodi

    mi kwa mtazamo wangu sion sababu ya kuzungumzia kodi issue ni kwamba nchi ya pili kutoka mwisho kiuchumi duniani inaweza kulipa mishahara ya kima hicho kwa viongoz wake?au tuite hujuma ya ccm dhidi ya makabwela(wakata mkaa na walina hasali wa Tz).amka mtanzania ccm ni janga,mbona hamuelewi au...
  15. H

    Tanzania kamwe haiwezi kupata tija na ufanis ktk uchumi kama CCM itaendelea kubaki madarakani

    serikali hii ya ccm inakili kuwa imeshindwa kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja,sambamba naukuaji wa uchumi wa nchi kitakwim,swali ni kwamba itawezaje kukuza uchumi wa watu huku haitaki kuboresha mifumo ya uzalishaji mali?mfano tatizo la maji linalowakabili wananchi,huku kukiwa teknolojia ya...
Back
Top Bottom