Kama unadhani napuyanga that's fine with me ila najithamini sana na sitaki kuangamiza mtu yaani wewe inaonekana hujitambui so sorry for that am closing the book I won't reply again your messages
Wewe kweli mtanganyika unaelewa iyo status nimeitumiaje au unataka na wewe uonekane ume comments shame on you, na vitu vingine vikupitage, kama wewe unaona jamii forum ni majaani that's fine with you mimi kwangu ni sehem naiamini sana
Kichwa cha habari cha husika mimi ni mwanamke naishi Njombe, natafuta rafiki ambaye tutashauriana issue mbalimbali kuhusu ili janga ikiwezekana baadae awe mume. Awe na sifa zifuatazo ....... . Mchapa kazi, mwenye hofu ya mungu, awe smart na mwisho awe na kipato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.