Hizo factors of production zote nimeziconsider ila hamna kitu ila mm nawasiwasi na hawa ng'ombe kwani nilifanya research kuhusu ng'ombe wa Ubungo na nikaona watu wanasema huwa hawafanyi vizuri sana. Na wengine wakasema hao ng'ombe wanaoletwa pale huwa wanakasoro fulani fulani za milk output...
Niliwanunua hao ng'ombe pale Ubungo DAr es salaam ila sikumbuki umri wao ila wakati na wanunua mmoja alikuwa mtamba na mwingine alikuwa amezaa mzao wa kwanza huko alikotoka ilikuwa (december 2011). mbaka sasa yule mtamba amezaa mara mbili na yule mwingine amezaa mara tatu lakini bado rate yao ya...
Shukrani mkuu!!!!!!!! Hivyo vyote ulivyosema nilisha fanya na wala sikuona any changes. labda hii breed yake sio freshian halisia maana ni 2years sasa toka niwanunue pale Ubungo. yaani mkuu imefika wakati nataka niwabadilishe na nianze upya! ishu inakuja nitawapata wapi cattle diary ambao ni...
Mkuu nimesikia habari kuhusu FLECKVIEH wanastahimili mazingira ya EAst africa , lakini makao makuu yao yapo Kenya sasa sifahamu utawapataje hao ng,ombe na cost zake zipoje. Please give more Information hata namba zako za simu mkuu!!!!! Je kuna mtu yeyote anaewafuga Tanzaniaatupe datails zao
Habari wapendwa wana Jf !!!!!!!!!!!!!! Mimi nina ng'ombe wangu wawili aina ya freshian ni wanunua pale ubungo
lakini wanatoa maziwa kidogo sana 3 litres per day kwa ng'ombe mmoja. Hawa ng'ombe wanapatiwa chakula bora na suppliments mbalimbali. je hawa ng'ombe wana matitizo gani...
Habari! Mimi nina ng'ombe wawili wa maziwa( freshian) niliwanunua pale ubungo dar , chakushangaza hawa ng'ombe wanatoa maziwa kidogo kiasi 3 litres per day each lakini wanapata malisho bora kabisa.Msaada toka kwenu wakubwa!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.