Kuna mdau kaonekana kwenye pdf hapo tume ya ardhi tulipiga nae February 13, 2023 sijajua katika idadi ndo kashapungua au la mana ndo wa kwanza toka tumepiga oral
Binafsi ni mara ya Kwanza kuona kazi za pccb zikitangazwa sijajua kipindi cha nyuma ilikuaje na kuna Kada tofaut usaili utakua wa namna gani? Na mafunzo Yao huwa wanafanyia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.