nilikuwa na mpenz wangu tulipenda sana.mwanzo aliniambia alikuwa na mpenz wake.waliachana coz ya tabia za ule dada.hata mama ake mzaz hakumkubali.marafiki zake pia hawakupenda.kuna cku uyo dada alienda nyumban kwa mpenzi wang alimkuta anaoga akachukua namba yangu na kuniomba niachane na mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.