Wakazi wa Kimara yote wilayani Ubungo mkoa wa Dar es Salaam hawana huduma ya maji tangu siku ya Alhamisi,hali inayozua sintofahamu kwani imekuwa ni kawaida kukatika kwa maji kila mwisho wa wiki wa kwa takribani mwezi mmoja sasa.
Magari yote yanakuja kupakiza watu walio kwenye Mpango/foleni,inakuwaje yake na watu walioingia kinyume Cha utaratibu?
Halafu ni madereva wote,na wafanyakazi wote,wala sio mmoja mmoja.
Ni Dhambi kutamani kuvunja Sheria.Fikiria Kuna wazee wa umri wa babu yako wapo kwenye foleni dakika arobaini halafu dereva anapandisha demu wake tena kupitia mlango wake na anakaa nyuma ya dereva stori ziendelee
Kwa vile TRA,TPA,TAA wanafanya inahalalisha jambo hili la kufanya mambo bila utaratibu?
Tujifunzeni basi kujenga hoja wakuu!
Mimi nimeweka ushahidi wa picha hapo,na wewe tafuta ushahidi huko TRA piga kelele ili tukomeshe huu ujinga
Kumekuwa na tabia ya hovyo sana inayofanywa na madereva pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa mabasi ya Mwendokasi, hasa katika vituo vikuu vya Kivukoni na Gerezani nyakati za jioni ambapo foleni ya watu inakuwa ni ndefu, lakini baadhi ya madereva hubakiza/kuingiza baadhi ya rafiki, ndugu na jamaa...
Kuna dawa alinipa ya kumeza kabla sijalala kwa muda wa wiki siikumbuki jina,lakini kilikuwa ki-pill kidogo hivi kama pilitoni,shida ninayoaddress hapa ni Ile tatizo kuja kupotea na kuja Tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.