Recent content by Hisa2016

  1. H

    Mke wangu analeta kiburi, hataki niongeze mtoto wa sita

    Dollor inazidi kupanda, life expectancy tz inazidi kushuka, kina mama wamekuwa na ckmplications nyingi wakati wa kuzaa tofauti na zamani sababu ya vyakula na tabia nchi..n.k Lakini mtu bado anataka awe na watoto nane?!
  2. H

    Graduate business opportunity

    Asante Dakitari kwa kunitia moyo. Kwa pamoja tutafika.
  3. H

    Graduate business opportunity

    Habari ya leo waungwana. Natumaini wote mu wazima wa afya na mko poa katika kusukuma maendeleo ya Taifa letu pendwa Tanzania. Bila kuchoshana. Kama tunavofahamu kumekuwa na ongezeko kubwa sana la graduate au wahitimu wa vyuo katika ngazi mbali mbali kila mwaka, hii imechangiwa na kuongezeka...
Back
Top Bottom