Mhhh...sioni kosa la BBC hapo nimemsikiliza,jamaa aliyekuwa anahoji...alikuwa anafuatilia kujua ahadi ya Masha ambaye alisema ataleta ndege....haikuwa kishabiki kihiivyo.....ujue kuna wananchi walikata tiketi,so BBC hapo ni ufuatiliaji wa kawaida kihabari,
ba li Masha yeye ndo alikuwa akitoa...
Katika mfululizo wa matukio mabaya ya mauaji na mengine hapa Tanzania, uchunguzi wake umekuwa ukitanguliwa na matamko mengi yenye malengo ya kupata kiki kisiasa.Hii tabia inapoteza dira kamili ya wachunguzi wa idara ya usalama,mtu anashambuliwa, watu wanauawa kama kule kiburi, mwanasiasa...
Hiyo duniani na mnyanga yao mbona wapo kimya,maigizo ya usimamizi wanafanyia Afrika. Mambo yetu ni si hadi wakoloni hao watusaidie na fikra kudhan wao ni kioo si kweli.
Naona tunakaribia undani wa shambulizi hili zaidi ya kile tunachotaka kuaminishwa kuwa serikali, inahusika, sisi wavivu wa kufikiri kuna watu wamejificha nyuma ya serikali,na kuifanya jalala, kama wasemavyo ukubwa jalala, ila tutajua huyu dereva na tuition yake tumuache aigize baadaye tutajua tu
Taifa lolote linahitaji siasa safi, ili kufikia utekelezaji wa sera zilizopo zinazolenga kujenga taifa Husika.Siasa safi daima ni ile ya kuona vyama vya siasa vikiwa busy,kutekeleza shuguli zake za kila siku ili kufikia ustawi kamili katika kujenga chama. Siasa za Tanzania kwa muda mrefu sasa...
well said kiongozi, mie sioni kama Chadema dhamana wanayojipa kwa mtumishi wa bunge TL ni halali kuhoji kwamba why michango yake ya matibabu isipitie kwao, hapo ni kuanika ngoma juani na kupigia mstari shutuma zao za awali kuwa serikali haijawajibika.Najua hata wangekabidhiwa fedha wamesema...
MKUTANO WA MBOWE NA WAANDISHI WA HABARI UMEACHA MASWALI MENGI:
1. Inakuwaje mnasema ni suala la kitaifa lakini kujua afya yake ni siri na haki ya mgonjwa? Kama ni la Kitaifa basi Taifa lijulishwe hali yake pia ya kiafya ilivyo kiundani na sio kuliacha Taifa na maswali mengi.
Let's Pray 4 Him...
Basi ni vyema tunaosoma,tukaona jinsi hoja zinavyoyeyusha hoja nyingine,kuliko mkato huu katika kinachoandikwa,ili tujue si hoja lazima kuwe na hoja,dawa ya moto si moto?napita tu nikirejea nikute uchambuzi yakinifu kuyeyusha hii hoja,tujijengee kubishana kwa hoja na si kurukiana tu...hahaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.