Zote
Nimesoma replies za hii thread, na nmeona kuna watu wanamuamini Mungu lakini hawawezi kutetea huyo Mungu bila mihemko na wasioamini hawawezi toa hoja juu ya astheism.
Waungwana, kama humuamini Mungu ingia youtube tafuta clips za astheism na astheist utasikia hoja zao na kama unamuamini...
Kuna hoja na mada mbalimbali humu zinazotolewa na members, na members hawa wengi nimeona ni wataalamu wa kitu wanachokiongea, utaalamu si tu wa darasani ila pia kupitia experience ya jambo lake analozungumzia.
My concern ni kwamba, kuna mtu anaanza poa kabisa kutoa hoja yake (au just...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.