Recent content by hijacker

  1. H

    KERO Mwanza: Soko la Buhongwa, upande ni Soko, upande ni Dampo ndani ya fensi moja. RC Said Mtanda na Waziri Mchengerwa ingilia kati

    Viongozi wa Serikali Mkoa wa Mwanza ebu angalieni Afya na utu wa wananchi wenu. Hivi kweli Wilaya ya Nyamagana tena Jiji kabisa mmekosa sehemu nzuri ya kuwaweka wafanyabiashara wadogo wadogo na machinga wa Buhongwa, hadi mkaamua kuwapeleka kwenye dampo la kumwaga uchafu na taka mlilojenga...
  2. H

    KERO Responded Kero ya maji safi jijini Dodoma, Waziri Aweso ingilia kati

    Yapata wiki tatu sasa jiji la Dodoma hususan mitaa yote ya Kisasa maji hayatoki. Cha kushangaza sio mamlaka ya maji Dodoma (DUWASA) au mamlaka za Serikali Wilaya na Mkoa wa Dodoma waliojitokeza kutoa ufafanuzi juu ya changamoto hii ambayo sasa imegeuka kuwa kero na hadha kubwa kwa wananchi...
Back
Top Bottom