Recent content by higuan

  1. H

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    japhary ndiye mbunge moshi mjini. Toka saa nne usiku watu wameshangilia milipuko inayosadikika ni mabomu na risasi za mpira washawasha ndio vilitanda anga ya moshi wakati vijana wakishangilia
  2. H

    JamiiForums Tanzania Lowassa hana nia ya kujenga upinzani

    Baada ya uchaguzi kesho chama kikuucga upinzani kitakuwa ccm.... wewe unataka edward aimarishe ccm ya nn? Zaidi tutaivuruga kwakumpa makofuli wizara maana atlist ana kauwezo....
  3. H

    JamiiForums Tanzania Magufuli afunika Dar es salaam, Mwanza hapatoshi leo

    When will u stop to dream??? u ccmz.... Mimi nilifikiri mmechoshwa pia na mfumo hivyo kutumia muda wa kesho vizuri kumlipia mwanao ada ya shule awali hadi chuo kikuuu....
  4. H

    JamiiForums Tanzania Magufuli afunika Dar es salaam, Mwanza hapatoshi leo

    Hebu tuache ushabiki. Watu hata hawajaingia uwanjani... eti mwanza hapatoshi. Mwaka wa mabadiliko unawapa tabu sanaeeeee......
  5. H

    JamiiForums Tanzania ITV wamekuwa hawaoneshi Mikutano ya CCM ya Kampeni

    Ukawa wanalipia live coverage ya matangazo yao kwenye tv zilizojionesha kuwa neutral.....eg itv na azam. Atar tv na tbc ni za chama kimoja.... HEBU THREAD NYINGINE MZITAFAKARI WENYEWE KABLA YA KUTUMA. acha kuogopa mabadiliko.
  6. H

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Lowasa Uwanja wa Mashujaa Moshi 09/10/2015

    Lowasa asipokuwa rais basi. Ctakaa nijihusishe na siasa......
  7. H

    JamiiForums Tanzania Mgombea mwenza wa ACT ashugulikiwa Karatu, ni baada ya kuanza kumponda Lowassa

    Kama ametukana na apigwe tu maana hakuna namna nyingine yakudilli na watovu wa nidhamu....
  8. H

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa: Magufuli haogopi kupoteza kura kwa kukemea ufisadi na kusema atawafunga wala rushwa!

    Labda tumuulize slaa... kufukuzwa upadri, kufukuza mke halali nakuoa kimada, kisha kusaliti mabadiliko... je yote hayo nimabadiliko yakutoka pabaya kwenda kuzuri!!! Au pabaya? Bila shaka hayo ni mabadiliko mabaya. Ikiwa ndivyo, atuthibitishie kuwa hajui anachokiongea na anatumika.
Back
Top Bottom