mkuu sijikiti sana kwenye hili swala! ila nina marafiki wengi sana raia wa urusi ambao nafanya nao kazi wanalalama hali sio nzuri sana haswa kuanzia pale mgogoro wa urusi na ukreni ulipoanza. wengi wamepoteza kazi, mitaji, hata kusafiri imekua ngumu sana kwa sasa. natamani niweke hapa baahdi ya...
ndugu kwa haya uliyoandika inainyesha ni jinsi gani ulivyo dhaifu! huyo hata ukimuoa jua atakaa juu ya kichwa yako. jitathimini tena utaona mapungufu yako ni mengine sana maana huoni mbele yako itakuja kuwaje.
natamini ningekua karibu yako nikukate kibao cha haja mate yakutoke ili akili ikuingie...
ndugu zangu habarini ya jumapil? naomba mwenye kujua bei za ma tank ya maji kama ya sim tank, poly tank nk. ni kwa mahitaji ya nyumbani tu. ujazo kuanzia lita 1,500-2,500
ndugu zangu habarini ya jumapil? naomba mwenye kujua bei za ma tank ya maji kama ya sim tank, poly tank nk. ni kwa mahitaji ya nyumbani tu. ujazo kuanzia lita 1,500-2500
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.