Recent content by HERY HERNHO

  1. HERY HERNHO

    Baada ya Kashfa ya Trump, Ulaya kwa kauli moja wamuambia Zelensky your not Alone you never walk alone alipo wapo ulipo tupo simamia nchi yako

    Hongera wewe unayeijua mifumo mingi kuliko Trump aliyeaminiwa na Wamarekani wenyewe....Sidhani kama umewahi kufika hata Somalia tu sijui uliijulia Google hiyo mifumo
  2. HERY HERNHO

    SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    John_Denver_Take_Me_Home,_Country_Roads
  3. HERY HERNHO

    Mission iliyopo kwa sasa ni KGB kumalizana na Zelensky

    wakati muuaji kakamatwa na kakili kwamba kweli alitega bomu unasemaje? hapo...
  4. HERY HERNHO

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    kwahiyo wewe unajua kuliko urusi yenyewe? hongera
  5. HERY HERNHO

    Huyu Mtangazaji ni nani? Nataka tuyajenge

    mtangazaji wa channel ya trt ya uturuki trt africa
  6. HERY HERNHO

    Kishindo cha Hypersonic Missile za Urusi: Ndani ya pazia NATO wameiogopa sana Urusi: Matokeo yake ukraine imenywea!

    ukr Ukraine hajawahi kumiliki nyuklia hata moja, kilichotokea zile ni nyuklia za Russia zilikuwa sikihifadhiwa huki Ulraine ambapo lilikuwa ni jeshi la kijana na huko Urusi ni jeshi jekundu hi yo Ukraine karudisha silaha za watu acha kukariri tu.
  7. HERY HERNHO

    Katika kosa kubwa ambalo Biden atalifanya ni kuhusu uamuzi wa kuiruhusu Ukraine kutumia silaha za masafa marefu

    punguza ujuaji ina maana wewe unajua kuliko warusi wenyewe? hata somalia hujafika unashadadi ya russia kujifanya unaijua ....wabongi ujuaji mwingi lakini kumbe zero
  8. HERY HERNHO

    Kwanini Brazil walifanikiwa mapema kutengeneza ndege kabla ya China?

    ndege anayotumia rais putin umeitengeneza wewe? Ilyushin Il-96 ( Kirusi : Илью́шин Ил-96 ) ni ndege ya Urusi yenye injini nne ya masafa marefu iliyoundwa na Ilyushin katika uliokuwa Umoja wa Kisovieti na kutengenezwa na Shirika la Uzalishaji wa Ndege la Voronezh nchini Urusi . Inaendeshwa na...
  9. HERY HERNHO

    Naftar Benet: Tutaigawa Iran vipande elfu kwa miaka hamsini, jibu letu litakuwa kali na chungu

    yaani mtu upo kibaigwa sidhani hata kama siri za jeshi la tz unazijua au huko mbali hata kikundu cha migambo wa hukijui au hata serikali ya mtaa haikujui leo ndiyo uje utuambie walichofanya Iran wamekosea yaani wewe unaona kuliko Iran? hii nchi tuna vijana wa hovyo ...Iran waliorusha wanajua...
  10. HERY HERNHO

    Rasmi sasa: Nasrallah amekufa na mwisho wa Israel umefika

    Russia alimwambia lini? Iran hayo maneno yako?
  11. HERY HERNHO

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Zelensky kupitia ukurasa wake wa jukwaa la X amesema, meli hiyo ilishambuliwa muda mfupi baada ya kuondoka katika eneo la bahari la Ukraine. Katika hatua nyingine Urusi imedai kuwa imeikomboa sehemu kubwa ya Mkoa wake wa Kursk. Hayo ni kulingana na Wizara ya Ulinzi ya Urusi. Rais Zelenky wa...
Back
Top Bottom