bora muhongo, jenista wakati anakula kiapo amepatwa na stuckness, kaanza kusoma kiapo cha pili badala ya kile cha kwanza then cha pili: Yaleyale ya muhongo na tanganyika na zimbabwe kuungana kuform tanzania
mimi nimeshtushwa na vazi la mwigulu kwani hata kama kweli inaifeel nchi kivile, kuvaa T-shirt na suti kidogo kwa dhima ya kitaifa kama ile hapana : sikuwahi hata siku moja kuona vazi la namna hiyo, na it tells how confident he is but still,ni over confidence katika eneo kama lile kwa wakati ule
SECTION . Measuring academic skills of teachers Research studies have shown positive associations between student achievement and teachers academic skills, level of content knowledge, years of experience and participation in content-related professional development opportunities (Ballou, 1996...
huo ushauri anaupeleka wapi akishauchukua? :mulugo aliandikiwa hotuba na kuisoma tu akashindwa: zakia meghji akiwa waziri wa fedha alisainishwa vitu ambavyo anaweza kujaza kitabu akivitaja na watu wakanufaika kwa ignorance yake
Bila kuathiri michango ya watu wengine na kwa kuzingatia umuhimu wa sekta ya elimu na watu ambao jenista mhagama ata-intaract nao katika kuchochea mabadiliko fulani anayotamani katika wizara ya elimu. ni ukweli kuwa Jenista alistahili kuwa waziri lakini sio waziri wa wizara ya elimu. Kwa sababu...
Kwa nafasi ya JK kwa sasa,Ilitakiwa amsaidie kumweka mtu ambaye chama kingekuwa kimekwisha kuwatafiti na kuwaona wana uwezo wa kuvivaa viatu hivyo ili kumjenga kisiasa
kwamba ukimuuliza Rais Kikwete,who will be the next presidaa,itakuwa ni changamoto kwake . Japo amesema Nyerere alijua the next angekuwa Mwinyi. Na amekiri kuwa brother JK kidogo maamuzi hana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.