Recent content by Hermez

  1. Hermez

    JamiiForums Tanzania Machine ya selcom inauzwa tsh. 350,000

    Poa mkuu karibu
  2. Hermez

    JamiiForums Tanzania Machine ya selcom inauzwa tsh. 350,000

    Machine ya SELCOM kwa ajili kukata. Luku King'amuzi Vocha zote Tigo pesa, Mpesa, Airtel ..... n.k Na huduma zingine nyingi. Machine haina tatizo lolote na ina miezi 3 tu tangu niinunue Ila naiuza kwa kuwa nabadilisha biashara. Line za wakala tayari nimeuza zote. Napatikana Temeke...
  3. Hermez

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri boyfriend wangu ana manyoya mengi

    Bado yupo kwenye stage ya u gorilla Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Hermez

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza

    No Sio temeke Nzima na Sio kila mwanamke nikimuona tu namtongoza. Me huwa najukuta nimemtongoza mwanamke pale napo muona na kuvutiwa nae pia labda kwa kuwa natoka job jioni sana ndo mana hahisi kama sikutani na warembo. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Hermez

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza

    Dah! Mkuu mbona unapepelusha ndege wangu kwenye mtego!! Mwache! If she is ready, atakuja PM mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Hermez

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza

    Wachache wanawadanganya then wana Generalize kwa wote. Wengine hatuna hizo mambo, me mwanamke akikubali na tunaendana namchukua(naoa) Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Hermez

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza

    Mbona nawaona wengi kwenye nyuzi za mapenz mna comment. Tena wengi mpo single lakini Kuja PM yangu hamtaki. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Hermez

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza

    Ukiona hivyo mkuu ujue madem wa mtaani wanaringa sana ukiwatongoza wakati una Nia nzuri tu ya kimaisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Hermez

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwenza

    Habari za majukumu wana JF, Mimi ni kijana 28 yrs naishi TMK. Natafuta mdada atakae kuwa tayari kunipenda na kutekeleza plan ambazo tutazipanga kama partners. Sifa; Umri miaka 18 hadi 26. Awe Anaishi Dar Awe mweupe kidogo/ Maji ya kunde. Christian/ kama ni Islamic awe mpole tu kubadili. Awe...
Back
Top Bottom