Recent content by Herman mdede

  1. H

    SoC04 Mabadiliko ambayo Serikali inatakiwa kuyafanya katika tasnia ya habari

    Waandishi wa habari wengi Tanzania tunashindwa kupata ile ABC ya kutumia elimu kwasababu tunakosa msaada wa serikali katika tasnia hii. Mimi naamini ili mwandishi wa habari awe kamili na mtu anayefanya kazi katika hali ya kiwango lazima awe na vitendea kazi vitakavyo mwezesha yeye aweze kufanya...
  2. H

    Maadhimisho ya siku ya wa wanaume, Mambo ya kuzingatia kama mwanaume

    Vitu vya kuzingatia kama mwanaume. 1)Tujiimalishe na tujue majukumu yetu kama Kinababa 2)Tusipoteze uanaume katika jamii pale jamii itakapohitaji wanaume basi tujitokeze kujenge nchi yetu 3)Wanaume ni moja ya watu wanaopambania haki za wanawake na watoto pia tuwajibike katika hilo...
  3. H

    SoC04 Tanzania tuitakayo na tuitarajiayo

    Tanzania Tuitakayo: Ajira na Tenda kwa Miaka 25 Ijayo Utangulizi Katika kijiji kidogo cha Mkwajuni, kulikuwa na kijana mwenye ndoto kubwa, Juma. Alikuwa na elimu ya chuo kikuu lakini alipambana kupata ajira katika soko la ajira ambalo lilikuwa na ushindani mkubwa. Hali hii ilimfanya Juma...
Back
Top Bottom