Habari,naomba ufafanuzi kuhusu chuo Cha Open university of TANZANIA,je ni kweli ukisoma pale degree hupati mkopo wa ELIMU ya juu?
Je waliosoma foundation course hawapati mkopo wa degree Wala selection kutoka vyuo vingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.