Recent content by henry_manywili

  1. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Leo September 05.2025 Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Jimbo la Uyole
  2. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Rais. Samia mitano tena hakuna anayepinga Watanzania tumedhamiria na tunakwenda na mama SSH2530
  3. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania Polepole na tuhuma za uongo dhidi ya mradi wa JNHPP

    Kuhusu swala la Polepole kusema kwamba kwenye mradi wa bwawa la JNHPP kuna ubadhilifu wa pesa, hilo ni uongo kwa sababu zifuatazo: 1. Mradi wa JNHPP ni mradi wa kimkakati ambao ulikuwa ndoto ya viongozi waliopita na huu ni mradi ambao umeenda kutatua tatizo la umeme kwa Watanzania. Pia...
  4. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania VR inazidi Kuangaza juu ya Polepole inasemekana ni mwizi 2015 na pia mtekaji mkubwa

    Kaka unabisha VR DATA zake zinaendeleaa kuvuja.
  5. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania VR inazidi Kuangaza juu ya Polepole inasemekana ni mwizi 2015 na pia mtekaji mkubwa

    Unajua fika We ulikuwa miongoni mwa watu wanaotuma vijana na kuwadharay askari kwamba hawa wanatii maamui ya Chama Polepole una uhalali gani wa Kusema unapigania watu! Unakumbuka Mpango wako mkiipeleka Meli Mv Victoria Kagera Mwaka jana wakati wa Kampeni ukiwa na akina Petro Magoti, acheni...
  6. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania GE2025 Morogoro: Kampeni ya Uchaguzi ya Samia Suluhu kata ya Ngerengere

    Tukiwa hapa Ngerengere kwenye mkutano wa kampeni za CCM Askof Dr George Pindua wa Kanisa la KKKT ndio aliefanya maombi ya kufungua mkutano. Na ndiye Askofu aliyealikwa Lakini kuna Askofu aliyemaliza Muda wake Askofu Mameo nae ameonekana kwenye mkutano na akataka atambuliwe kama askofu wa jimbo...
  7. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uzinduzi wa Kampeni za CCM Viwanja vya Kawe, Agosti 28, 2025

    TUKAWASHANGAZE, HAIJAPATA KUTOKEA "....kuwa sehemu ya kihistoria..., umeona mengi ila hii Haijapata Kutokea. Twendeni tukawashangaze..." Ni Alhamis 28 Aug 2025 Tanganyika Parkers - Kawe #Tukawashangaze #Haijapatakutokea
  8. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ufunguzi wa kampeni za CCM 2025

    Siku ya ufunguzi wa kampeni si siku ya kukosa kwani CCM ya mama Samia mgombea urais atakiwasha
  9. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania Nishati safi kwa watanzania

    Mama anatuoambania watanzania# tunamjua
  10. henry_manywili

    JamiiForums Tanzania Nishati safi kwa watanzania

    Ifikapo 2034 80% ya watanzania watakua wanatumia nidhati safi ya kupikia .asema Raisi wajamhuli ya muungano wa Tanzani Dr Samia suluhu hassan. #Tunmjua.
Back
Top Bottom