Kwa shahada yako tafuta NGOs nenda kajitolee kwanza. Siku hizi kama hauna kazi kupata kazi ni balaa. Peleka CV yako taasisi kadhaa ukatoe huduma. Ila kabla haujapeleka tafuta mtu aipitie kidogo kuna mambo nahisi yatakuangusha kwenye uandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo sio umesoma miaka mingapi ila umesoma nini. Kama minimum requirements from TCU ni mwanafunzi amalize masomo (units) 30 (kwa mfano tu) na chuo kikathibitisha kinaweza kuzi fundisha within 3 years hakuna shida. Wakati wengine wanasoma masaa 20 kwa wiki wengine wakisoma 25 shida hakuna. Japo...
Nawapongeza sana Die hard fans wa 'vyuo vyenu'. Ukweli ni kwamba hizi rankings zinatumia vigezo mbali mbali hivyo usishangae kuwa hawa wanasema wewe wa 5, wengine wanasema wewe wa 30. Ki ukweli ni faraja sana kuona chuo ulichosoma, unachosoma au unachokipenda kimeshika nafasi za juu. Wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.