Recent content by HENGAIPINGE LIPUNGE

  1. H

    HENGA CONSTRUCTION AGENT

    HENGA CONSTRUCTION AGENT -Wanafanya hesabu ya gharama ya vifaa vya nyumba yako -Wanajenga nyumba kwa haraka sana -Wanapaua vizuri -Wanaweza kukuchorea ramani nzuri na yakisasa JE UNATAKA KUFANYA UJENZI KWA BEI RAHISI? waone HENGA CONSTRUCTION AGENT simu : 0764 745763/0719 575145
  2. H

    Henga construction agent

    HENGA CONSTRUCTION AGENT -Wanafanya hesabu ya gharama ya vifaa vya nyumba yako -Wanajenga nyumba kwa haraka sana -Wanapaua vizuri -Wanaweza kukuchorea ramani nzuri na yakisasa JE UNATAKA KUFANYA UJENZI KWA BEI RAHISI? waone HENGA CONSTRUCTION AGENT simu : 0764 745763/0719 575145
  3. H

    TANGAZO

    HENGA CONSTRUCTION AGENT Je unataka kujenga nyumba kwa bei rahisi? -Wanajenga nyumba kwa bei rahisi -Wanatathimini gharama za vifaa vyote pamoja na gharama za ujenzi -Wanapaua vizuri na kwa bei rahisi kila mtindo wasiliana nao : 0764745763/0719575145
  4. H

    CHIMBUKO LA VINA NA MIZANI KATIKA USHAIRI WA KISWAHILI

    CHIMBUKO LA VINA NA MIZANI KATIKA USHAIRI WA KISWAHILI KURUNZI YA USHAIRI Kabla ya kujikita katika vina na mizani si budi tukaangalia kwa muhtasari chimbuko la ushairi wa Kiswahili. Licha ya uwepo wa mitazamo kadha wa kadha juu ya suala hili, hoja inayoshamiri kwa kuwa na mashiko ni ile...
  5. H

    RIWAYA YA KISWAHILI NA SIFA ZAKE

    RIWAYA YA KISWAHILI NA SIFA ZAKE RIWAYA YA KISWAHILI NUKUU ZA SOMO: MAANA YA RIWAYA NA AINA ZA RIWAYA: Riwaya imefasiliwa na wataalamu mbalimbali miongoni mwao nikama vile, Encyclopedia Americana (EA), Jz. 20 (1982:510f) wakinukuliwa naMulokozi (1996) wanasema, riwaya...
  6. H

    Misamiati Mipya ya Kiswahili

    Misamiati Mipya ya Kiswahili Vitate, Vitawe na Visawe 3 days ago ICU (intesive care unit) = SADARUKI. Serikali ya Mseto (coalition government) = SERIKALI MAHUTUTI.
  7. H

    MAENDELEO YA WAHUSIKA KATIKA RIWAYA YA KISWAHILI TANZANIA

    MAENDELEO YA WAHUSIKA KATIKA RIWAYA YA KISWAHILI TANZANIA J.S. Madumulla Katika uhakiki wa kipengele cha mhusika katika riwaya ya Kiswahili, mtindo wa uhakiki wa ‘kijadi’ umetokea kutumika zaidi na wahakiki wa fasihi. Uhakiki wa ‘kijadi’ tukiwa na maana ya kuwa wahakiki wamemtazama mhusika...
  8. H

    KUHAKIKI KAZI YA FASIHI ANDISHI

    MADA MPYA 3: KUHAKIKI KAZI YA FASIHI ANDISHI MADA NDOGO: MAENDELEO YA FASIHI ANDISHI. A.Mwelekeo wa kazi za fasihi andishi nchini Tanganyika na Zanzibar wakati wa ukoloni. KIMAUDHUI: Kazi nyingi za fasihi andishi nchini Tanganyika na Zanzibar zilishughulikia masuala mbalimbali ya kimaisha...
Back
Top Bottom