Mimi nakuona mwehu wewe.. Ulichokifanya ni sawa na kujitosa kuoga mtoni, ghafla unaona kichaa anakimbia na nguo zako nawe ukaingia huko huko.. Kila mtu lazima akuone mwehu mara mbili zaidi.
Nimechukua taarifa kama ilivyo kwenye gazeti la raia mwema.. Simjui Mwaipasi.
Wasiliana na Mwandishi wa habari hii RAIA MWEMA - Felix Mwakyembe 0713-290487 atujuze jina la kwanza la huyu mgombea.
Jimbo la Rungwe magharibi ambalo kwa sasa Mbunge wake ni Profesa David Mwakyusa, litakuwa na moto mkali wa kisiasa mwaka huu. Mpaka sasa wanachama 18 wa CHADEMA wameonyesha nia ya kuwania ubunge katika jimbo la Rungwe Magharibi, mkoani Mbeya. Wengi zaidi wanatarajiwa kujitokeza.
Waliojitokeza...
Hivi una habari?.. Unajua kuwa karibu wajumbe wote wa makundi 15 yaliyowakilishwa pale Dodoma ni wana CCM? Hivi makonda ni mwakilishi wa vijana au CCM?
Nguzo yetu ni Polisi.. Iwapo JK atakaza uzi kuzuia mikutano na maandamano ya wapinzani tunaweza kufika salama kwenye uchaguzi mkuu ujao.. Tusipowatumia polisi wapinzani watajijenga tu!.
Mpango wa kuingiza kwenye katiba ya sasa mambo mapya ya tume huru kutatumaliza.. Hatutabebwa tena.
Makundi...
Ndiyo!.. Alikuwa safarini, karudi na kufikia kwenye mikutano; angesoma saa ngapi? Amekiri kuambiwa na wasaidizi wake na kupitia hotuba ya chenge na wawakilishi wa makundi mbali mbali (kama ni wawakilishi wa kweli) kwamba katiba ni nzuri saana.
Huu ni mmoja wa msiba tulio nao ndani ya chama. Hata SMZ ina watu wengi mno wanaojua hilo na kulipinga. Tuna wakati mgumu sana Zanzibar. Mpasuko mkubwa upo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.