Hizi habari zipo katika public domain, unless upoint out unahitaji uthibitisho wa kipi. Mimi naongelea mtu niliyekuwa nae. Yeye amashapata taarifa ya makala hii. Nataka yeye au watu wake waje wakanushe chochote kati ya hivi.
Haji Omar Kheir
Kwa vile hakukuwa na utunzaji wa kumbukumbu zozote miaka hiyo, Inakisiwa kuwa Haji Omar Kheir alizaliwa kisiwa cha Tumbatu mwaka 1960.
Allzaliwa katika umasikini uliopindukia hata katika standard za kisiwa hicho alichozaliwa.
Alimaliza masomo yake ya kidato cha tatu mwaka...
Malalamiko ya Madaktari Watarajali (Interns) kuhusu kufeli mitihani ya Mct:
Kama Mdau wa Afya, nimeisoma barua ya wazi ya madaktari tarajali (interns) ya tarehe 21 July.
Nimesikializa press ya madaktari hao ya tarehe 04 August.
Lakini pia nimeona taarifa kwa umma ya Wizara ya Afya ya tarehe...
Kinana, Makamba wajivua uanachama CCM
Ansbert Ngurumo8th February 20200 Comments
MAKATIBU wakuu wastaafu wawili wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba, wamejivua uanachama wa chama hicho.
Habari zilizoifikia SAUTI KUBWA zinasema Kinana na Makamba walijiondoa rasmi...
Kwanini channel 10 hawakuonesha live wakati yanatolewa matokeo ambayo yalikuwa transparent, kwenye giant screens all over the country ili watu wajifunze fair elections. Hakukuwa na malalamiko yoyote.
Au wanamuonyesha mtu fulani.
Polisi yataka Netanyahu ashitakiwe kwa madai ya ufisadi
Polisi wa Israel wamesema wamapata ushahidi wa kutosha wa mashitaka ya rushwa na udanganyifu wa fedha kufunguliwa dhidi ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na mke wake.
Inadaiwa kwamba Netanyahu na kampuni ya Bezeq telecom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.