Asante my kwa ushauri ila maisha ya kukaa tuu nyumbni t z real hard alafu ukizingatia mm ni msichana kuna vishawishi vingi.....Pia hapna utakuwa ulinifananisha
Habari zenu wakuu kwa majina yangu naitwa helime octavian ni msichana mwenye umri wa miaka 23 nimesoma chuo kimoja kilichopa hapa dar es salaam college of business education.
Nilisoma cheti ya kozi hyo lakini nikashindwa kuendelea na diploma kutokana na mambo fulani ya kifamilia ila nampango wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.