Recent content by helena ongala

  1. H

    Kwa nini ndoa za siku hizi zinavunjika haraka tofauti na ndoa za zamani?

    Kuna usemi usemao mafahari wawili hawaishi zizi moja. Point Yangu ni Kuwa kazi zinatupa viburi c kwamba zama walikuwa hawagombani ila walikuwa na uvumilivu kwa sababu mtafutaji ni mmoja mama anaangalia familia lakini kwa sasa mke na mume wote wanarudi nyumbani jioni kila mmoja amesha ona nje...
  2. H

    Mpenzi wangu kanizidi umri

    Kaka mwanamke hata umzidi umri anabaki Kuwa MDOGO tu pia umri is just a number witu wanatafuta penzi LA kweli na sio nani nimemzidi au nani tunalingana utachemka kama umempenda fwata taratibu awe wako daima tena ushahuri mwingi utakupoteza Kuwa makini.
  3. H

    Simulizi: Mkataba wa siri

    Hongera unajitahid jitajidi na kumalizia vizuri.
  4. H

    Wazazi wangu wajinga!

    Pole San kwa kuhisi unawazazi wakinga, ningependa kukurekebisha usemi wako wa kwamba wazazi wako ni wajinga hakuna Mzazi mjinga duniani labda mapungufu madogo madogo ya kibinadamu inawezekana wewe ndio ukawa mjinga maana upo peke yako unayeona hivyo SWAPO wawili tena waombe msamaha kwa kuwaita...
Back
Top Bottom