Recent content by hekimatele

  1. hekimatele

    Msaada juu ya router yangu iweze kutumia laini zote

    Hii yz smile ya 4g mi nilifanikiwa kubadilisha na kuweka line ya tigo na inadunda vizuri tu so far. Ni ya 4G lakini. Haipati moto naiwachaga inapiga 24 hours and more. Nafikiri in my opinion if you ask me mkwa sasa kwetu hapa Tanzania 4G ni reliable in almost every place. Hii mambo ya kikimbilia...
  2. hekimatele

    Msaada wa unlock Airtel router (5G smart box)

    Kuhusu kununua universal router na hizi za mitandao, which one is better for beneficial usage?
  3. hekimatele

    Router za 5g postpaid ni mkenge au kuna faida?

    Hii ya Airtel ni huawei au Nokia?
  4. hekimatele

    Router ya Nokia Fastmile 5G

    Na mi nasubiri wadau walete majibu zaidi nisaidike
  5. hekimatele

    Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

    Hii itakulazimu ununue line tatu zote ziwe registered for unlimited data service. Wasiwasi wangu ni kwamba, hili linawezekana? Maana wanasema ili wakuunganishie line inabidi uende na router yako waiconnect kwa kutumia IMEI number ya router yako na simCard. Sijui limekaaje hili kitaalamu...
  6. hekimatele

    Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

    Ndio niko kwenye window-shopping ya kufanya manunuzi ya hii bidhaa. Huyu mwamba amenisaidia kuwapangua Tigo. Ilikuwa nimeiweka top kwenye priority list zangu ikifuatiwa na Voda kisha Airtel. Kwa style hii ya huu uzi na madini aliyoshusha mwamba hapa nimebakiza Airtel kama ya kwanza kisha Voda ya...
  7. hekimatele

    Mlipuko huu wa Rooters za WIFI kwa kampuni za Simu ipi ni nzuri Kwa matumizi nyumbani?

    Mkuu, Kwa uzoefu wako kwenye hizi router za 5g kwa haya makampuni ya simu yote, kampuni gani inayotoa best 5g router in terms of quality of brand and service. Najua hili liko technical zaidi especially kwenye hardware part. It's something am eager to know before I make purchase decision. Binafsi...
  8. hekimatele

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hapa sijaelewa bado. Hebu endelea kulainisha udadavuzi Mkuu
  9. hekimatele

    Waziri ashangaa ndege kuuzwa 500,000/=

    Watu wamenunua ndege kama wananunua spea za gari Kariakoo. Nchi hii ilikuwa na enzi zake kweli.
  10. hekimatele

    Ndege ndogo ya Kilimoanga yauzwa kwa tshs 500,000/-

    Diiiiiiiih. Daaaàah. Aiseeeee..
  11. hekimatele

    Ndege zilizouzwa sh. laki 5 kila moja hazijulikani zilipo...

    Duuuuuuh. Daaaaah. Aiseeeeeeee. Aiiiiiissshhhhh.
  12. hekimatele

    Ukatili wa Shirika la Bima la Taifa (NIC)

    Vipi ulipata msaada?
  13. hekimatele

    Msaada kuhusu shirika la bima NIC

    Umeshalipwa Mkuu?
Back
Top Bottom