Recent content by Hekima ni silaha

  1. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania KERO Askari Magereza Feki Anatumia Vitisho na Matukano

    Ni vizuri karipoti pengine hawa ndio watekaji,mtu akitekwa lawama inaelekezewa serikali
  2. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Kwa niliyoyaona sikupingi mkuu
  3. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Nina ushahidi mpaka wa screenshots zaidi ya 50 ambazo nimezitunza kama reference kwa siku za baadae.Sipendi tu kuziweka hapa maana pamoja na kwamba kushare hii habari najidhalilisha ni bora kuliko kudhalilika huku nikiwa nishajulikana kwa sura na family kwa ujumla
  4. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Chief kama hujaoa ruksa kunitupia mawe.Ila kama umeoa Muombe sana Mungu,tofauti na hapo weka akiba ya maneno.
  5. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Hapo mkuu upo sahihi kabisa level ya umalaya kwa wanawake wa kijita ni waikizu.Wakurya ndio wife materials tofauti na hapo kwa mara Bado sana.Siyo sehemu salama ya kwenda kuoa
  6. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Ni wale mabinti wanaopitia mafundisho ya kisabatho,pathfinder mpaka kuwa mmoja wa waimba kwaya viongozin.Hakuwahi kufanya kazi ya baani
  7. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    NImek uja kushare kisa changu hapa kiongozi unaweza kujifunza pia siyo lazima kushauri tu
  8. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Kwa miaka 20 niliyokaa huu ukanda sidhani kama Kuna mwanamke wa kijita mwenye mwanamme mmoja,siongei kwa ubaya nimejionea mengi sana.Naongea hapa kwa uhakika.
  9. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Kwa miaka 20 niliyokaa huu ukanda sidhani kama Kuna mwanamke wa kijita mwenye mwanamme mmoja,siongei kwa ubaya nimejionea mengi sana.Naongea hapa kwa uhakika.
  10. Hekima ni silaha

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Pengine sehemu ya kuwapeleka kwa sasa ni changamoto,koo Zina mengi
Back
Top Bottom