Recent content by Hekima Mhenga

  1. H

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    Elimu pia ni jambo mtambuka katika jimbo la nzega mjini, nimepata habari ambayo kidogo nimeona kwa mtazamo wangu haki haikutamalaki hata kidogo. Nazungumzia wadau wa maendeleo hususan watumishi wa kata ya ITILO njia ya kuelekea Tabora mjini takriban km 3-5 hivi ambao huishi mjini na vituo vyao...
  2. H

    Tanzania taxman now to charge tax on Gospel songs, films

    Huyu mzee ameanza kuzeeka vibaya, sidhan km wazir wa fedha naye ataibariki hii. Ashaanza ingilia mambo ya dini sasa. Gospel ni ibada mazee mwambieni huyu wazir
  3. H

    Kiswahili: Methali, Vitendawili, nahau, Misemo n.k

    Napata shida kutofautisha vitendawili na methali plz naombeni mshaada kwa undani kidg
  4. H

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    Pole kiongozi tuijenge nzega yetu
  5. H

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    Hii ni moja kati ya great achievements ambazo nzega tutanufaika nao. Mbarikiwe sana
Back
Top Bottom