Recent content by Hedika

  1. Hedika

    Mabinti wa kiafrika ni maombaomba mpaka mnaboa

    Kama ni kweli Dada kwanza nikupongeze na pili nakutaka radhi lakini mwisho naomba utumie jukwaa lako kuwaelimisha hao madada wenzako kuwa kama wewe Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
  2. Hedika

    Mabinti wa kiafrika ni maombaomba mpaka mnaboa

    Duh pole sana mkuu ila ndo wadada wetu wa nyumbani komaeni
  3. Hedika

    Mabinti wa kiafrika ni maombaomba mpaka mnaboa

    Jamani Leo nimeamua kuwapa utofauti nilioigundua baina ya mabinti wa kiafrika hususani Tanzania na wenzetu ngozi nyeupe. Baada kiwa nje ya nchi kwa takribani miaka saba kimasomo nilikuwa licha ya kudate na mabinti wazuri tofauti tofauti wa mbele nilikuwa nimeshasahau masuala yanayoitwa vizinga...
  4. Hedika

    Kama una 26+ Na Hujatoboa kimaisha na una Mpango wa Kuoa Fanya Hivi.!

    Kumbe kuoa kupokea majukumu kutoka kwa mzazi kwenda kwa mume . ndio maana nasemaga madem wa kibongo ni ombaomba
  5. Hedika

    Mradi wa kilimo cha korosho Dodoma

    Ndugu zangu wana jamii forum nimepata habari kuwa serikali imebuni mradi wa kilimo cha korosho Dodoma ambapo wananchi watauziwa maeneo kwa tsh 100000 kwa eka katika eneo la mradi wa majaribio ili waweze kulima korosho huzo ambazo ni mbegu mpya. Naombeni ukweli juu ya jambo hili jamani .
  6. Hedika

    Hoja za Meya wa manispaa ya iringa Alex kimbe si za kupuuza tuache mizahaa

    Siku chache zilizopita kumekuwa na habari inayovuma sana mtandaoni kuhusu meya wa manispaa ya iringa ndugu Alex kimbe kupigiwa simu na ndugu Michael Mlowe kumshawishi ahame kutoka CHADEMA kwenda CCM jambo hili ni jambo la kutilia maanani sana maana licha ya kulitia doa taifa pia linaweza...
  7. Hedika

    Nabii Tito alikuwa sahihi kwa asilimia 100, Mafundisho yake ni ukweli mtupu

    Mjomba nabii Tito alikuwa na references nao wangekuja na references zao we unadhani imani Kali ni kupigana tu?
  8. Hedika

    Kama unataka kuishi maisha marefu na yenye afya mpaka uwaone wajukuu zako Fanya mambo haya

    Kwa kawaida hakuna Mtu ambaye hapendi kuishi maisha marefu lakini tu watu hawajui ni namna gani ya kufanya ili wayaishi hayo maisha marefu mpaka waseme ahsante MUNGU sasa waweza kutimiza mapenzi yako. Katika kitabu cha zaburi kwa wale wakristo kimeandika miaka ya MTU ni miaka 70 na kama unanguvu...
  9. Hedika

    Nabii Tito alikuwa sahihi kwa asilimia 100, Mafundisho yake ni ukweli mtupu

    Kunywa mvinyo sio kosa hata kanisani mnakunywaga kutembea na house girl nani kasema ni kosa au wapi panaonesha ni kosa
  10. Hedika

    Nabii Tito alikuwa sahihi kwa asilimia 100, Mafundisho yake ni ukweli mtupu

    Mjomba jinai kufundisha mafundisho ya biblia ? Basi biblia ipigwe marufuku.
  11. Hedika

    Nabii Tito alikuwa sahihi kwa asilimia 100, Mafundisho yake ni ukweli mtupu

    Wanaopingana na nabii Tito wanapingana na maandiko ya MUNGU.maana Tito anazungumza yaliyoandikwa katika biblia.
  12. Hedika

    Nabii Tito alikuwa sahihi kwa asilimia 100, Mafundisho yake ni ukweli mtupu

    Kaka punguza povu ingia you tube angalia mahojiano yake na mwandishi wa habari soma vile vifungu kwa makini utaelewa.
  13. Hedika

    Nabii Tito alikuwa sahihi kwa asilimia 100, Mafundisho yake ni ukweli mtupu

    Safi sana kaka Mimi sio muumini wa MTU Mimi ni muumini wa ukweli. Kama hawataki wachane hivyo vipande alivyowaonesha nabii Tito ibakii sehemu wanayoitaka wao. OK hapo ni kanisa la walevi south Africa ahsante kwa reference nzuri hao majuha waone sio kutokwa na povu.
  14. Hedika

    Nabii Tito alikuwa sahihi kwa asilimia 100, Mafundisho yake ni ukweli mtupu

    Hoyp hospitali ya mirembe waongeze kwa ajili ya kuwapeleka polisi wetu au kina nan?
Back
Top Bottom