Recent content by Hazard CFC

  1. Hazard CFC

    Nabii GeoDavie: Biblia sio neno la Mungu bali ni maneno ya wanadamu

    Kwani kuna mtu ambae alikua hajui hilo?? Zile ni historia za watu wazamani, ni sawa uandike kitabu ukiite GADDAFI ndani uweke mistari yako gadaffi 2 mstari wa nne..mtume huyu alishushwa na mungu kuwapa wana wa libya chakula,malazi,na elimu bure, kutokana na dhambi za wadami wakamuua. Miaka elfu...
  2. Hazard CFC

    Kijana wa kiume ambae upo 30's mwanamke wa kuoa ni mwenye miaka 18-23

    Nipo THE VOICE TZ hapa...napiga zangu ken baridii sana
  3. Hazard CFC

    Kijana wa kiume ambae upo 30's mwanamke wa kuoa ni mwenye miaka 18-23

    Mimi mwanamke nilieshi nae 8 yrs nimemzidi miaka mingi sana, kwa kifupi vitoto hvyo ulivyosema vina matatizo mengi sana,,kwanza kabisa kuhandle pressure na matukio haviwezi,vinapanic mnoo... Matukio kadhaa tu kishachoka🤣🤣
  4. Hazard CFC

    Kijana wa kiume ambae upo 30's mwanamke wa kuoa ni mwenye miaka 18-23

    Kama limenyooka linanilewa mbona fresh tu,
  5. Hazard CFC

    Kijana wa kiume ambae upo 30's mwanamke wa kuoa ni mwenye miaka 18-23

    Mimi naoa yoyote as long as ananipenda,ananiheshimu, sitooa umri
  6. Hazard CFC

    Ni member gani hujamuona muda mrefu lakini umemisi uwepo wake humu jukwaani

    Haha nipo...ka app haka kanachoshaga tu, uko poa?
  7. Hazard CFC

    Selfika na JF: Snap it. Show it

    Haha nipoo..
Back
Top Bottom