Kwani kuna mtu ambae alikua hajui hilo?? Zile ni historia za watu wazamani, ni sawa uandike kitabu ukiite GADDAFI ndani uweke mistari yako gadaffi 2 mstari wa nne..mtume huyu alishushwa na mungu kuwapa wana wa libya chakula,malazi,na elimu bure, kutokana na dhambi za wadami wakamuua.
Miaka elfu...
Mimi mwanamke nilieshi nae 8 yrs nimemzidi miaka mingi sana, kwa kifupi vitoto hvyo ulivyosema vina matatizo mengi sana,,kwanza kabisa kuhandle pressure na matukio haviwezi,vinapanic mnoo... Matukio kadhaa tu kishachoka🤣🤣
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.