Recent content by hayolae

  1. H

    TANZIA Kiongozi wa Upinzani Urusi na mkosoaji mkubwa wa Rais Putin, Alexei Navalny afariki dunia akiwa gerezani

    Sishabikiii mauji, kuuana au kudhurumu haki ya kuishi. Ila kwa taifa kubwa kama urusi linalowindwa 24/7 nusu ya wapinazi wanakua halisi nusu yao wanakua mamluki Ili kuyumbisha au kupindua selikali. Maadui wa nje wanapenda kutumia watu wa ndani kuligawa taifa husika....,
  2. H

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Ndo maana juzi putini kasema hakuna wa kiwashinda west na Europe kwenye vita ya propaganda. Hiyo operation niyakawaida sana hamna haja ya kuipamba ivo. Hawa jama walituteka kwenye movies za hollywood tilijua hawagusiki kumbe.......
  3. H

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Kupokea wakambizi maana yake ni gharama kwako uliewapokea lazima bajeti iwepo. 2.Kutokana na mpango kazi wa wazayuni nikutaka kuwahamisha mazima hao waparestina. Sasa atakaewapokea maana yake awepe uraia au makazi ya kudumu we kuweza??
  4. H

    Rais Putin asema vita haitaisha hadi hapo malengo ya Russia yatakapotimizwa

    Kuna mtu alisema putini hajui kinachoendelea duniani.Kila kitu anaambiwa na wasaidizi wake hata simu hana. Ila ukimsikiliza putin mwenyewe unamuona ni mtu ambae yuko mbele ya mda na yuko more apdated than you can imagine.
  5. H

    Aliyekua generali Urusi asema nyuklia ndio njia ya pekee ya kuzuia mtiti wa counteroffensive

    Hii shida imenikumba.Nikifungua baadhi ya thread zinagoma.Tatizo ni nini??
  6. H

    Makombora mapya ya Urusi huzipiga chenga Patriot angani ili kufikia lengo

    Jamani mbona mm uzi haifunguki ule wa special thread russia vs ukraine ni mm tu au ni wote??
  7. H

    Mapinduzi ya Niger yanaweza kumkumba Tinubu wa Nigeria

    Swali la kujiuliza kwa nn serikali zinapinduliwa? Kabla ya kuwashughurikia wapinduzi washughurikie kwanza kero zote zinazopelekea mapinduzi.
  8. H

    Dassault Rafale: Ndege ya Jeshi la Anga la Ufaransa

    Acha bana kwa iyo alligator inayochakaza front line inachakaza ikiwa urusi.? Afu kuna dog fight kaza zimetokea Kati ya Urusi na ukraine zimetokea kwenye ardhi ya Urusi.?? Ndege za Urusi zinaingia popote kwenye anga la ukraine ila inategemea na mpango kazi wa siku husika.Vita ni mipango na...
  9. H

    Rais Putin akutana na Boss wa Wagner

    Kumbe wanajua putin mwamba sio kwa msuri huo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
  10. H

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Mpaka saiv haipaswi kuweka hitimisho.Pamoja na hotuba ya putin na wachambuzi mbalimbali bado hakutoi hitimisho what is going on.Nadhani ngoja tuupe mda nafasi. Kuna mambo mengi yanayofikirisha sana. Na kuna maswali magumu yasio na majibu kuhusiana na rusia V.S wagner. Afu scenario ya sudani...
  11. H

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Toka sintofahamu ya wagner vs russia ianze nimebaini mambo yafuatayo. 1.Putini anakubalika sana na wananchi wake ,hii nikutokana na anavyowasikiliza lakini pia anavyopambana kuiletea urusi maemdeleo. Urusi ya mwaka 1990 sio urusi ya leo. 2.wasio mpenda putin ni mafisadi ambao wanapesa Mingi na...
  12. H

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hapa ndo unaona faida ya mfumo wa kijama. Wajama hata wakiwa na internal conflict ila linapokuja suala la kitaifa la kuwafanya wawe wamoja wanafanya ivo. Hata vikwazo vimedunda kwa urusi sababu makampuni mengi yapo chini ya serikali.
  13. H

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kwa lugha nyepesi inaonyesha USA. ni most corrupt country. Sifa ambazo west waliipa russia kua rushwa imetapaka jeshini.Sijui makamanda wanapewa hela za kununua dare za jeshi wanazipiga wanaleta dare za jeshi kidogo. Mara ooh siraha za Urusi ni duni kwa sababu ya rushwa. Ila hii SMO...
  14. H

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    repainted so that they are suitable and look good. [emoji3][emoji3] Hiyo sentensi maana yake wamechuku helicopta za zamani ambazo ni kuku hata rangi ilikua imefutika. Sasa wakasema wamezipaka rangi na zimependeza zitafaa kwa mapambano na urusi.[emoji3]. Sasa najiuliza rangi na kupendeza kuna...
Back
Top Bottom