Recent content by hayacola

  1. H

    Ushauri kuhusu mawazo yangu kabla sijampa kazi msanifu majengo

    Huo upande wenye jiko bila shaka ndo upande ambao wakati wote utakuwa na kelele za watu mbalimbali mfano mkeo na mashosti zake, watoto wako, dada wa kazi watu wanaoingia na kutoka mfano majirani, wauza vitu wa mtaani automatically hii inapelekea wewe ukiwa kwenye room yako ghorofani kupigiwa...
  2. H

    Kutuma pesa mitandao ya simu ya Tanzania ukiwa Kenya

    Habari wana JF Naomba uzoefu Kwa mtu ambaye amekuwa akisafiri kwenda Kenya na ana akaunti NMB je akiwa Kenya aliweza kutumia huduma za kwenye app ya NMB mfano kutuma pesa kwenda mitandao ya simu? Kwa kifupi issue yangu iko hivi nina akaunti NMB nitaenda Kenya hivi karibuni nikiwa huko nitakuwa...
Back
Top Bottom