NDOA... yani hii kitu kuna wakati inatibuka hadi unatamani kutangaza kustaafu, na wakati mwingine inakuwa imenyooka hadi unatamani ufungue matawi... Yani nathubutu kusema kama bado hujaoa, wewe bado ni dhaifu sana na bado hujayajua maisha.
DAAH... Yani mkuu sijui hapa unanisema mimi! Maana yangu yanapumulia mitambo na kila nikijiuliza sababu siipati kwa kina.. Ingawa tuna watoto 2 ila nahisi yasha expire kama ulivosema
Nashkuru sana mkuu, ni kweli line inapokea mwisho 1m, nmewapigia voda wakasema ni kweli walijaribu kunitumia ila haijaja kutokana na line yangu kufikia kikomo.. So hapa inabidi niende premierbet kucancel
Sijapanic mkuu.. tatizo pesa haipo kwenye account yangu, na pia sijawekewa kwenye simu... So hata hyo kutoa kidogo kidogo ntatoa nini na wakati kwenye account haipo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.