Unazungumzia sayari gani kaka. Umesoma kweli hiyo Pharmacy au unasikiliza maneno ya watu humu. Narudia tena MD anaweza kusoma kozi yoyote kuanzia Pharmacy, Nursing etc lakini hauwezi kutoka huko kuja kusoma MD.
Halafu usihamishe goal kila mtu anaweza kufanya kazi popote na ndiyo maana MD wako...
Unanifurahisha sana brother. Ni hivi nilipomaliza kidato cha sita nilikuwa na uwezo wa kusoma kozi yoyote pale Muhimbili ikiwamo hiyo Pharmacy. Nafurahi kwamba nilichagua MD.
Kwa critetia za ufaulu zinaanzia na MD then zinafuata hjzo nyingine. Kama ukiwa na qualifications za kuchaguliwa MD...
Shule ipi unayozungumzia kuwa ninaisoma. Soma uzi vizuri halafu uandike tena, course unachagua kulingana na pass mark yako na malengo uliyonayo. Kama ulikuwa na lengo la kuwa pharmacist na passmarks za Md hiyo ni juu yako na isikufanye uichukie Md. Kama marks hazikutosha basi ridhika na...
Hawa jamaa wana chuki sana na MD. Hawataki kukubali ukweli kuwa MD ni juu yao wote aidha mmoja mmoja na pia kwa ujumla wao. 5 yrs pale MUHAS unaandaliwa kuwa kiongozi wa hao wanaopiga kelele humu.
Wakati huo mfumo unajengwa nyie kada nyingine mlikuwa wapi? Acha chuki kijana alama zako za ufaulu na malengo yako yamekufikisha hapo kwenye hiyo kada uliyopo, usijenge chuki kwa wengine hautofanikiwa. MD halingani na Nurse au Pharmacist kwa namna yoyote huo ni ukweli na utabaki kuwa hivyo siku...
RIP ndugu zetu Mwenyenzi Mungu awatangulie katika safari mpya mliyoianza.
Ila hawa madereva wa STK na DFP nafikiri wanahitaji mafunzo elekezi. Huwa wanajiona ni Bora na wanaharaka kuliko dereva yeyote yule. Uendeshaji wao wa magari huwa ni wa kasi sana na hawajali magari mengine. Poleni sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.