Tafadhali! wenye nchi ni Watanzania. Majeshi hayo tumeyapa majukumu ya kutulinda(Katiba). JWTZ lina mandate yake ukiona limeingilia kazi ya polisi inamaana polisi wameonekana dhaifu (kama unavyojua hawachukui hatua yoyote kwa wahalifu/wahujumu nchi).
Daah, :shock:
Mbona familia ya huyo mwalimu hawajakanusha hiyo picha? Ndiyo yalayale ya meli iliyopindika zanzibar. Kumbe picha zilikuwa za meli ya ufilipino miaka ya nyuma.:mad:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.