Recent content by hassankilanga2

  1. H

    Dk. Slaa na Zitto kupanda jukwaa moja

    Mnalishwa uchafu eti wasaliti,bora hao kuliko wezi na mafisadi,wasaliti niwale waliowaita wengine mafisadi,Leo haohao wanawasafisha mafisadi walewale,
  2. H

    Dk. Slaa na Zitto kupanda jukwaa moja

    Sumaye na lowasa wanajumla ya miaka 13 katika nafasi ya uwaziri Mkuu,lipi wamefanya,zito na silaa wamefanya makubwa,yoyote mwenye akili anajua,
  3. H

    UKAWA: Kwenye UZINDUZI Tunawataka Hawa Watu La SIVYO..

    wayaone na wao,walichonga sana juu ya zitto,walibeba propaganda ya usaliti
Back
Top Bottom