Asante mkuu kwa mrejesho wako
Hilo unalo ongelea nalijua mkuu maana kwa sasa ku gain trust kwa mtu from nowhere ni ngumu sana kutokana na wingi wa matukio mbalimbali ya kitapeli yanayo tokea.
Ni kwamba mradi unahusu uzalishaji wa Biogas kutumia taka zinazo oza, ambapo badae tunaichuja hiyo...
Habari za wakati huu wana Jamii
Kwa majina ninaitwa HASSAN IDDI HASSAN Mkazi wa Kigoma-Ujiji
Mimi ni kijana mwenye ndoto ya kufanya mageuzi katika matumizi ya nishati mbadala nikiwa na maana ya Green Energy, pamoja na usafi wa mazingira. Ambapo tutatumia taka (organic waste) kuweza kuzalisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.