Recent content by Hassan Jongo

  1. H

    Nida Magomeni hata kitambulisho kiko tayari kukipata unaweza kukaa masaa 6

    MBONA SISI WENGINE TUMEHUDUMIWA VIZURI BILA TATIZO. TUMEFIKA KWA ILE OFISI TUKAFUATA UTARATIBU NA TUKAPEWA VITAMBULISHO VYETU. SASA NINA MASHAKA NA WATU WENGINE INAWEZEKANA SIO RAIA NA WANATAKA KUJIPENYEZA SASA WAKIBANWA NDIO WANAKUJA KULALAMIKA. PIA UNAPOFANYA MCHAKATO NI JUKUMU LAKO KUFUATILIA...
  2. H

    Mwigulu Afanya ziara NIDA.

    WATANZANIA KUANZA KUNUFAIKA NA MATUMIZI YA UTAMBULISHO WA TAIFA (NIN) Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi; Mh. Mwigulu Nchemba (Mb) leo ametembelea Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), ambapo alikutana na Menejimenti ya NIDA na kupokea taarifa ya maendeleo ya shughuli ya Usajili na Utambuzi...
  3. H

    NIDA yatumia nguvu ya Polisi kunyamazisha wafanyakazi wanaoidai mamlaka hiyo

    Niliwatafuta Baadhi ya hao wahusika kwa kigezo cha kutokutaka kutaja jina alikubali kunisimulia yaliyojiri. Kwamba hakuna nguvu yeyote iliyotumika kuwaondoa watumishi hao ambao ni wachache. Alisema kilichotokea ni kwamba watumishi hao wachache waliositishiwa mkataba wao walifika na kukutana na...
  4. H

    Vipi NIDA Mbona wamekaa kimya, Vitambulisho vipya mchakato ukoje?

    Vipi NIDA Mbona wamekaa kimya sasa Vitambulisho vipya mchakato ukoje...????
  5. H

    Vipi NIDA Mbona wamekaa kimya sasa Vitambulisho vipya mchakato ukoje...????

    Watuambie nini kinaendelea kupata kadi mpya mimi ninahamu nacho.
Back
Top Bottom