Recent content by hasan124

  1. hasan124

    Kosa la Rugemalira ni nini ?

    Sijajua kwa ishu nzito kama hii anaibuka MTU kutetea moja kati ya mafisadi. Siku zote fisadi ni mkwepaji na ndio maana hata huyu Singa Seth though alijua anafisadise lakini alitengeneza mfumo kuhakikisha analinda maslah na usalama wake kisheria!
  2. hasan124

    Rugemalira, Luoga, escrow funds na Mkombozi Commercial Bank

    Zitauzika kweli?! Maana sasahv ipo kwny spotlight!
  3. hasan124

    Kwanini Bunge lisimwajibishe Raisi Kikwete?

    EPA, RICHMOND, MEREMETA, CHENJI YA RADA, NDEGE YA RAIS, UUZWAJI NBC, etc. Etc. Na sasa ESCROW! Hawa jamaa ni sugu! CCM inanuka! Harufu ya UOZO, Uozo Usiosafishika!
  4. hasan124

    Kwa kashfa hizi, CCM haifai kuongoza tena

    Haihitaji kumung'unya maneno! CCM ni wezi. 1) EPA 2) RichMond 3) Rada na chenji yetu 4) Meremeta 5) Back then Uuzwaji wa NBC 6) Meno ya Tembo 7) Twiga wetu wale waliopanda ndege 8) Sasa Escrow! 9) Etc. 10) Etc 11) Etc Hawawezi kuwa serious! Hili ni Pango la majangili wa nchi hii.....formula...
  5. hasan124

    Assah Mwambene; IKULU yakanusha biashara ya pembe za ndovu

    Kwa style hii ndio naelewa sasa ile statement maarufu ya "nyie mnataka kula tu bila kuliwa...... ""haiwezekani" 142,000-55,000=87,000! Inamaana wote hawa weshaliwa! duh
  6. hasan124

    Hon. Hamad Rashid Mohamed Speech at the IPU General Assembly in Geneva Switzerland

    STATEMENT BY HON. HAMAD RASHID MOHAMED (M.P, FABRM) WAWI CONSTITUENCY, PEMBA AND HEAD OF DELEGATION OF THE UNITED REPUPLIC OF TANZANIA, 14 OCTOBER 2014, GENEVA, SWITZERLAND THEME: DEMOCRACY AND GOOD GOVERNANCE: AS A TOOL FOR ACHIEVING GENDER EQUALITY AND ENDING VIOLENCE AGAINST WOMEN – A CASE...
  7. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    Inasikitisha kuona pamoja na ukubwa wako wa kuweza kupembua mambo lakini bado unaonyesha uko illiterate, akili fupi ndio zinasababisha ufikiri kwamba kila anayesapoti kilichotokea Dodoma ni CCM....huu ni ulimbukeni! Jaribu kufuatilia historia za nchi mbalimbali duniani kuhusu michakato ya Katiba...
  8. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    Ni haki yake kama Mtanzania kujenga popote anapopenda na hii ndio faida ya Muungano wetu huu! Umimi wa wachache wa wanaojiaminisha kwamba wao ni wazanzibari kuliko wazanzibar wengine ndio unapelekea kuona kama ni dhambi kwa wenziwao kuwekeza Bara! Opportunity ya Waznz kwa bara ni kubwa mno! kuna...
  9. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    Hapana! Usiishi kwa mazoea, In other way around this is Just the beginning of the end of the Sultanate regime in especially Pemba! Hatuwezi kuvumilia kuona 50years after Mapinduzi still kuna vibaraka wa Muarabu! This is Africa and that will never happen Punjab Singh
  10. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    BMK lilihusisha vyama vya siasa, makundi ya wakulima, wafugaji, taasisi za dini etc! hvyo waliotoka ni uwehu wao ndio uliopelekewa watoke! huwezi kuacha fursa ukajikita kwny kutokutii sheria!
  11. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    Nijuavyo wezi ni wale waliokula hela zitokanazo na kodi za wananchi na baada ya kushiba wakaamua wajitoe ktk mchakato husika! inasikitisha watu wametumwa na wananchi halafu wanakimbia jukumu lao then wanakuja mitaani kutupigia kelele na kushawishi kile ambacho wanakitaka lakini wakakimbia.
  12. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    ccm ndio majority na chadomo na kile chama cha sultan ndio minority! sasa unataka kuniambia wangefanya mnachotaka ndio wangekua wamefuata hiyo sheria? basi nitawashauri wapeleke kibanda maiti hiyo katiba kama ninyi hamuitaki!
  13. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    wasaliti ni wale waliopata fursa ya 'kisheria' kutengeneza katiba ya watanzania halafu wakakimbilia kibanda maiti, na mitaani matokeo yake wanaishia segedance kama yule mama mwenye matendo ya kiuanaume!
  14. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    wasaliti ni wale waliopata fursa ya 'kisheria' kutengeneza katiba ya watanzania halafu wakakimbilia kibanda maiti, na mitaani matokeo yake wanaishia segedance kama yule mama mwenye matendo ya kiuanaume!
  15. hasan124

    Nafasi Mhe. Hamad Rashid Mohamed katika kutetea maslahi ya Zanzibar katika Katiba

    unatakiwa utambue kwamba wawakilishi wa wachache ndio waliotoka na wawakilishi wa walio wengi wakaendelea kutunga kile kilichowasilishwa kwa mhe. JK na Shein sasa katika zoezi la kupiga kura wale walio wengi maana yake watawashinda walio wachache haijalishi kelele za wachache ni kubwa kiasi...
Back
Top Bottom